Stupidity and ignorancewemekamatwa usiku baada ya timu ya simba kuzuiliwa kuingia uwanjani.
Chekini fala hiliii πππππππππππkwani zinasema lazima wafanyie mazoea hapo
wawe wapole kesho watapigwa swafiiiiii haina haja ya mauza uza
Karne ya 21 unaamini huo ujinga. You must be a very certified fool to believe that.Kuloga kumebuma tutakula kichapo kizuri [emoji1787]
Mnaonewa na nini nyie. Mnabeba basi tatu zilizojaa waganga alafu saivi mnalalamika.Sema nini Wana51mba wenzangu...
Wana51mba tunaonewa sana, Yanga inapendelewa na TFF
GSM anaharibu ligi sana
Tususie mechi twendeni ligi ya Zanzibar au Burundi huko
GSM adhibitiwe hafai kabisa yaani
Una akili kisoda sana.Round ya kwanza hizo kanuni hazikuwepo? Sikumbuki mechi za watani kama wanautamaduni huu.
We kizibo kweli.Una akili kisoda sana.
Cha msingi tushinde, mengine hatuna shida nayoYanga itapigwa faini nyingi sana kwa sababu ya mechi ya kesho. Hapo bado hawajaruka ukuta
FT: Yanga 2 vs Simba 1Yanga itapigwa faini nyingi sana kwa sababu ya mechi ya kesho. Hapo bado hawajaruka ukuta
Kanuni inasema ufanye mazoezi ya mwisho muda sawa na ule wa mchezowe kanuni gani inasema mazoezi yafanyike uwanjani usiku? kwanini wasifanye mazoezi mchana? wanajua mchana kamera zitawanasa kna uchawi wao.
Kanuni za TFF zinaruhusu?Mbona mechi zinachezwa usiku?
Kwa mujibu wa kanuni ni kuwa timu mgeni anatakiwa kufanya mazoezi ya mwisho siku moja kabla ya mchezo kwenye uwanja ambao mechi itachezwa hiyo mechi ,na muda wa kufanya mazoezi ushabiane na muda ambao mechi husika itaanza.
Mechi ya kesho inaanza saa 7:15 simba wamefika uwanjani 7:00 sasa hapo kosa la simba liko wapi?
cheti unacho nije kuchukua π€£π€£π€£Karne ya 21 unaamini huo ujinga. You must be a very certified fool to believe that.
Kwanini waende usiku??Wakuu
Ubaya Ubwela umewageukia!
Kwa mjibu wa Watangazaji wa EFm Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi
View attachment 3262877
Tazama video hii ya tukio husika
View attachment 3262905
Mwendelezo:
Kikosi cha Simba, kimeondoka katika uwanja wa Benjamin Mkapa na kurejea kambini baada ya kushindwa kufanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa mechi.
View attachment 3262951
Simba SC walikuwepo uwanjani tangu saa moja ila imeshindikana wao kufanya mazoezi baada ya kuzuiwa.
View attachment 3262928View attachment 3262929
Kuhusu SHERIA
Sheria za soka, hasa chini ya FIFA na mashirikisho kama CAF na UEFA, zinaeleza haki za timu mgeni kuhusu matumizi ya uwanja kabla ya mechi. Kwa kawaida, masharti haya yanahusiana na mazoezi ya mwisho na kukagua uwanja.
Masharti Muhimu kwa Timu Mgeni:
1. Siku Moja Kabla ya Mechi: Timu mgeni kwa kawaida inaruhusiwa kufanya mazoezi kwenye uwanja rasmi wa mechi siku moja kabla ya mchezo.
2. Muda wa Mazoezi: Kuna kikomo cha muda wa kutumia uwanja, mara nyingi kati ya dakika 60 hadi 90, kulinda hali ya nyasi.
3. Hali Mbaya ya Uwanja: Kama uwanja uko kwenye hali mbaya (mfano, mvua nyingi), mwenyeji anaweza kuzuia mazoezi hapo ili kuulinda, lakini timu mgeni inapaswa kuruhusiwa kuukagua.
View attachment 3263101
Adhabu
View attachment 3263102
Pia, Soma
Simba wanafanyiwa figisuWakuu
Ubaya Ubwela umewageukia!
Kwa mjibu wa Watangazaji wa EFm Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi
View attachment 3262877
Tazama video hii ya tukio husika
View attachment 3262905
Mwendelezo:
Kikosi cha Simba, kimeondoka katika uwanja wa Benjamin Mkapa na kurejea kambini baada ya kushindwa kufanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa mechi.
View attachment 3262951
Simba SC walikuwepo uwanjani tangu saa moja ila imeshindikana wao kufanya mazoezi baada ya kuzuiwa.
View attachment 3262928View attachment 3262929
Kuhusu SHERIA
Sheria za soka, hasa chini ya FIFA na mashirikisho kama CAF na UEFA, zinaeleza haki za timu mgeni kuhusu matumizi ya uwanja kabla ya mechi. Kwa kawaida, masharti haya yanahusiana na mazoezi ya mwisho na kukagua uwanja.
Masharti Muhimu kwa Timu Mgeni:
1. Siku Moja Kabla ya Mechi: Timu mgeni kwa kawaida inaruhusiwa kufanya mazoezi kwenye uwanja rasmi wa mechi siku moja kabla ya mchezo.
2. Muda wa Mazoezi: Kuna kikomo cha muda wa kutumia uwanja, mara nyingi kati ya dakika 60 hadi 90, kulinda hali ya nyasi.
3. Hali Mbaya ya Uwanja: Kama uwanja uko kwenye hali mbaya (mfano, mvua nyingi), mwenyeji anaweza kuzuia mazoezi hapo ili kuulinda, lakini timu mgeni inapaswa kuruhusiwa kuukagua.
View attachment 3263101
Adhabu
View attachment 3263102
Pia, Soma
fala na wafuasi wake wamekimbia mchezo leoChekini fala hiliii πππππππππππ
Acha kutaja taja majina ya watuWe kizibo kweli.