Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi
This shows how much mental Ill you are ..inaonesha tuu jinsi Gani wewe una IQ ndogo sana na hujui lolote kuhusu mpira wa miguu,, hii sio picha halisi, kama una akili timamu na sio kichaa, basi leta picha halisi ukiwa umewapiga hao wazee wakiwa ndani ya basi ..kama ambavyo.mmepiga basi likiwa linaondoka.
 
kwani zinasema lazima wafanyie mazoea hapo

wawe wapole kesho watapigwa swafiiiiii haina haja ya mauza uza
Chekini fala hiliii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Sema nini Wana51mba wenzangu...

Wana51mba tunaonewa sana, Yanga inapendelewa na TFF

GSM anaharibu ligi sana

Tususie mechi twendeni ligi ya Zanzibar au Burundi huko

GSM adhibitiwe hafai kabisa yaani
 
Mbona mechi zinachezwa usiku?
Kwa mujibu wa kanuni ni kuwa timu mgeni anatakiwa kufanya mazoezi ya mwisho siku moja kabla ya mchezo kwenye uwanja ambao mechi itachezwa hiyo mechi ,na muda wa kufanya mazoezi ushabiane na muda ambao mechi husika itaanza.
Mechi ya kesho inaanza saa 7:15 simba wamefika uwanjani 7:00 sasa hapo kosa la simba liko wapi?
Kanuni za TFF zinaruhusu?
 
Uwanja wa Mkapa Yanga na Simba wote ni wageni na Yanga ni wenyeji kwa itifaki.

Swali la kujiuliza, je hawa timu ya wasomi wanaojua sheria na wakiongoza kwa kushinda kesi nyingi waliwajulisha Yanga ambao ni wenyeji wao muda wa kwenda kufanya mazoezi kwa Mkapa? Kama hawakuwajulisha mapema kuwa wataenda kuutumia uwanja walitegemea nani awafungulie milango ya uwanja na vyumba vya kubadilishia nguo?

Simba walijua nani wanamfuata kuwafungulia milango ni vile wamekumbana na kuzuizi. Hili linaonyesha wazi kwenye barua ya Simba inayosema meneja wa uwanja alisema hana taarifa na haiwezi kufanya mazoezi bila kamisaa. Ni wazi mambo hayakuwekwa sawa na Simba walijua wanachokifanya.
 
Wakuu

Ubaya Ubwela umewageukia!

Kwa mjibu wa Watangazaji wa EFm Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi

View attachment 3262877
Tazama video hii ya tukio husika

View attachment 3262905
Mwendelezo:

Kikosi cha Simba, kimeondoka katika uwanja wa Benjamin Mkapa na kurejea kambini baada ya kushindwa kufanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa mechi.
View attachment 3262951
Simba SC walikuwepo uwanjani tangu saa moja ila imeshindikana wao kufanya mazoezi baada ya kuzuiwa.
View attachment 3262928View attachment 3262929

Kuhusu SHERIA

Sheria za soka, hasa chini ya FIFA na mashirikisho kama CAF na UEFA, zinaeleza haki za timu mgeni kuhusu matumizi ya uwanja kabla ya mechi. Kwa kawaida, masharti haya yanahusiana na mazoezi ya mwisho na kukagua uwanja.

Masharti Muhimu kwa Timu Mgeni:

1. Siku Moja Kabla ya Mechi: Timu mgeni kwa kawaida inaruhusiwa kufanya mazoezi kwenye uwanja rasmi wa mechi siku moja kabla ya mchezo.

2. Muda wa Mazoezi: Kuna kikomo cha muda wa kutumia uwanja, mara nyingi kati ya dakika 60 hadi 90, kulinda hali ya nyasi.

3. Hali Mbaya ya Uwanja: Kama uwanja uko kwenye hali mbaya (mfano, mvua nyingi), mwenyeji anaweza kuzuia mazoezi hapo ili kuulinda, lakini timu mgeni inapaswa kuruhusiwa kuukagua.
View attachment 3263101

Adhabu

View attachment 3263102


Pia, Soma
Kwanini waende usiku??
 
Wakuu

Ubaya Ubwela umewageukia!

Kwa mjibu wa Watangazaji wa EFm Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi

View attachment 3262877
Tazama video hii ya tukio husika

View attachment 3262905
Mwendelezo:

Kikosi cha Simba, kimeondoka katika uwanja wa Benjamin Mkapa na kurejea kambini baada ya kushindwa kufanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa mechi.
View attachment 3262951
Simba SC walikuwepo uwanjani tangu saa moja ila imeshindikana wao kufanya mazoezi baada ya kuzuiwa.
View attachment 3262928View attachment 3262929

Kuhusu SHERIA

Sheria za soka, hasa chini ya FIFA na mashirikisho kama CAF na UEFA, zinaeleza haki za timu mgeni kuhusu matumizi ya uwanja kabla ya mechi. Kwa kawaida, masharti haya yanahusiana na mazoezi ya mwisho na kukagua uwanja.

Masharti Muhimu kwa Timu Mgeni:

1. Siku Moja Kabla ya Mechi: Timu mgeni kwa kawaida inaruhusiwa kufanya mazoezi kwenye uwanja rasmi wa mechi siku moja kabla ya mchezo.

2. Muda wa Mazoezi: Kuna kikomo cha muda wa kutumia uwanja, mara nyingi kati ya dakika 60 hadi 90, kulinda hali ya nyasi.

3. Hali Mbaya ya Uwanja: Kama uwanja uko kwenye hali mbaya (mfano, mvua nyingi), mwenyeji anaweza kuzuia mazoezi hapo ili kuulinda, lakini timu mgeni inapaswa kuruhusiwa kuukagua.
View attachment 3263101

Adhabu

View attachment 3263102


Pia, Soma
Simba wanafanyiwa figisu
 
Back
Top Bottom