Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
- Thread starter
- #61
🤣 katafuta pakuchomokea au sio!Hivi visababu tu! za kunyapia kolo kachungulia kaona game ya kesho hachomoki, nasikia anataka kula nyoya🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 katafuta pakuchomokea au sio!Hivi visababu tu! za kunyapia kolo kachungulia kaona game ya kesho hachomoki, nasikia anataka kula nyoya🤣🤣
Ulipiga picha ama kuchukua video ili uma wa Wana jamii forum wawaone hao wazee?Wameenda na wazee kufanya mazoezi
Ona bumunda hii hata Kanuni za Mpira haijui...mijitu mijinga kama hii ndio Mingi ndani nchi...Yaani linakurupuka sijui limevimbiwa pil
We jamaa unaniona bwege kumbe? Hata Kanuni hujui KAZI kuandika riwaya
Majitu machawi utayajua tuHivi mashabiki wa Yanga ule msemo kwenu wenye akili wawili imawezeka una ukweli eee?
Umejitia aibu kubwa Mimi nimekuja haraka labda ntakuta picha ya hao wazee, kumbe nakuta picha za mabasi ..hao wazee wako wapi? Umeshindwa kabisa kupiga picha hata mzee mmoja akiwa na kitambaa chekundu kichwani? Simu yako mbovu kwani?YAANI UNAENDA KUFANYA MAZOEZI USIKU BUS LIMEJAA WAZEE WAMEVAA VITAMBAA VYEKUNDU [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulipiga picha ama kuchukua video ili uma wa Wana jamii forum wawaone hao wazee?Sasa wale waganga waliojaa kwenye bus ndio walikua wanataka kuingia kufanya mazoezi?
Kwa timu ngeni kutoka Nje ya Nchi au Mkoa mwingine sio uwanja unaotumia kila siku useme ww ni mgeni? Game iliyopita Yanga walienda Taifa kufanya mazoezi?
It's a shame to see mental health patient like this all because of Simba vs yanga...Mzee wa kwanza: sisi mtufikishe hata nje ya uwanja fu kazi itakuwa imekwisha. Tutafanyia shughuli ndani ya basi.
Mangongo: tawile babuuuu. Aly ita dereva apeleke wazes wetu uwanjani
Hemedi Alley: hallo dreva leta bus huku kuna mahali tunapaswa kwenda
Dreva:....
Kwa hiyo kanuni inazuia timu kutumia mabasi mawili?Acha wapigwe nyie mnaenda kufanya mazoezi na bus mbili zimejaa watu ambao awaeleweki ni watu Gani? Acha wazuiwe izo janja janja zimepitwa na wakati
Ok mr psychiatrist.It's a shame to see mental health patient like this all because of Simba vs yanga...
Mabasi mawili sio shida,,shida ni kwenye mabasi ayo Kuna watu Gani,,basi la wachezaji linajulikana basi jingine limejaa watu ambao awaeleweki kazi yao ni nini lazima shaka iwepo!Kwa hiyo kanuni inazuia timu kutumia mabasi mawili?