Unabishana na shabiki maandaziUnajadili maswala ya mpira hata huyajui kanuni zinasema mgeni wa mchezo husika kabla ya mchezo anatakiwa autumie uwanja husika kwa mazoezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unabishana na shabiki maandaziUnajadili maswala ya mpira hata huyajui kanuni zinasema mgeni wa mchezo husika kabla ya mchezo anatakiwa autumie uwanja husika kwa mazoezi
Labda mazoezi ya ulozi,Wakuu
Ubaya Ubwela umewageukia!
Kwa mjibu wa Watangazaji wa EFm Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi
View attachment 3262877
Tazama video hii ya tukio husika
View attachment 3262905
Pia, Soma
Mtihani kiongozi wanguUnabishana na shabiki maandazi
Unajua muda wa mechi ya kesho?we kanuni gani inasema mazoezi yafanyike uwanjani usiku? kwanini wasifanye mazoezi mchana? wanajua mchana kamera zitawanasa kna uchawi wao.
Mechi ya round ya kwanza Yanga aliruhusiwa au round ya kwanza kulikuwa hamna kanuni ila round hii ndio mnakumbuka kanuni.Unajadili maswala ya mpira hata huyajui kanuni zinasema mgeni wa mchezo husika kabla ya mchezo anatakiwa autumie uwanja husika kwa mazoezi
Kabla ya kupenda timu jipe muda wakujifunza angalau kidogo tu kuhusu soka.we kanuni gani inasema mazoezi yafanyike uwanjani usiku? kwanini wasifanye mazoezi mchana? wanajua mchana kamera zitawanasa kna uchawi wao.
Hivi mashabiki wa Yanga ule msemo kwenu wenye akili wawili imawezeka una ukweli eee?Mechi ya round ya kwanza Yanga aliruhusiwa au round ya kwanza kulikuwa hamna kanuni ila round hii ndio mnakumbuka kanuni.
Sasa nyie mmejisahau Rage alivyo waita mbumbumbu.Yaani sheria isiapply round ya kwanza ije kuapply round ya pili kama sio umbumbumbu ni nini?Hivi mashabiki wa Yanga ule msemo kwenu wenye akili wawili imawezeka una ukweli eee?
Kabla ya kupenda timu jipe muda wakujifunza angalau kidogo tu kuhusu soka.
Duh 🙄 mpira wetu Una safari ndefu mno. Kama hujui kuwa kuna kanuni na Sheria za soka basi kazi ipo kubwa mnohamna unachojua kwenye mpira kunizidi we kunguni.
tengenezi timu.
kipindi mnapigwa tano nyie ndo mlikuwa wenyeji wa mchezo, mlikesha, mlisindika na kufanya mfanyavyo, na bado mlikandwa. waliokataa kutumia madawa yenu akina chama, baleke, inonga. ndo wale mliowasingizia eti wamepewa ela na yanga.
mnawaua wachezaji kwa ujinga.
mechi yenu na azam taarifa tunazo mwanozo mwisho, mbona haijawaacha wachezaji wenu salama.
Wameenda na wazee kufanya mazoezitengene
SIMBA TENGENEZENI TIMU, UCHAWI HAUFUNGI GOLI
Hatujakataa jee Yanga round ya kwanza aliruhusiwa? Au round ya kwanza hamna kanuni ila round ya pili ndipo kanuni zinaanza kutumika?Duh 🙄 mpira wetu Una safari ndefu mno. Kama hujui kuwa kuna kanuni na Sheria za soka basi kazi ipo kubwa mno
Ukirudia kusoma maelezo yako unaweza kulia mwenyewe jinsi ulivyo mjinga.hamna unachojua kwenye mpira kunizidi we kunguni.
tengenezi timu.
kipindi mnapigwa tano nyie ndo mlikuwa wenyeji wa mchezo, mlikesha, mlisindika na kufanya mfanyavyo, na bado mlikandwa. waliokataa kutumia madawa yenu akina chama, baleke, inonga. ndo wale mliowasingizia eti wamepewa ela na yanga.
mnawaua wachezaji kwa ujinga.
mechi yenu na azam taarifa tunazo mwanozo mwisho, mbona haijawaacha wachezaji wenu salama.