Inadaiwa kuanzia Jumatatu hatakiwi kuonekana machinga yeyote mjini Mwanza

Maneno matupu tu haya,mwaka jana kwenye uchaguzi kilichotokea mlijua wanaoadhibiwa ni wapinzani tu na nyie hayawahusu?

Sasa mtatoka na hamna kitu mtafanya na mkianza kuwa vibaka mitaani matairi yapo tutawakaanga.
Nakuunga mkono maana hao wamachinga walijisahau sana kwa kuanza kuwashambulia kwa maneno ya hovyo wapinzani.

Leo hii wanalipwa na mateke.
 
Mkimaliza jumatatu , msubiri 2025 waonyeshe pia
 
Mwanza ilishawajaribu wapinzani lakini hakuna alama yoyote walioiacha. Ukiona watu hawawaungi mkono hao wapinzani jua walishawaona hawana jipya.
Sasa wacheni kulia lia na ikibidi machinga wote wakatumbukizwe ziwa victoria wakaliwe na sangara.
 
Kwakutumia wabunge hawatafanikiwa hili la machinga halihitaji siasa hata hivyo hawa wanao panga barabarani siyo machinga,hawa wengi, niwafanya biashara wakubwa wameajili watu kwa mbinu ya mauzo kwakinyakyusa tunaita 'marketing strategy based on demonstration and aggressive sellng'
 
Tulia wewe team Jiwe CCM ikudunge sindano.
CCM kwa miaka 60 yote hawajawahi kuleta ahueni kwa wananchi wake zaidi ya kuwaigizia.
Rais yeyote akijua kuwaigizia tu wajinga wanamshangilia
 
Sasa kama we mwamba si uendelee tu mtaani
 
Mwanza ilishawajaribu wapinzani lakini hakuna alama yoyote walioiacha. Ukiona watu hawawaungi mkono hao wapinzani jua walishawaona hawana jipya.
Elimu ndogo tu nikusaidie kwa tanzania hii upinzani unahujumiwa na chama tawawa kwa sababu ndicho chenye serikali hivyo ni kawaida kabisa upinzania kuto zaa matunda
 
Mwanza ilishawajaribu wapinzani lakini hakuna alama yoyote walioiacha. Ukiona watu hawawaungi mkono hao wapinzani jua walishawaona hawana jipya.
Haya endeleeni na hao went jipya. Jumatatu mwisho wenu kutuzibia njia.
 
Pole sana mkuu,hizi story huwa zinanisikitisha sana,yaani Kuna watu tumewapa kazi ya kuhudumia umma,lakini wameshindwa hawana majibu wanachofanya ni kufukuza wamachinga(vijana wasio na ajira rasmi),sasa unawafukuza wakapate kipato wapi?jamani !!
Katika ku hustle na maisha niliwahi Kufika Benk kuu kwa ajiri ya usaili wa kazi,nilichogundua watu wa serikali Hawajuhi magumu wanayopata wananchi wa kawaida.
 

Watafutiwe mahala aisee mji umechafuka sana
 
Kusema kweli Mimi Kama kijana na pia natafuta maisha ila Serikali iliwalea sana.

Huwezi kumlea mvunja sheria!

Serikali inabeba lawama kwa hili
 
Mlango mmoja unapofungwa mwingine ndio unafunguliwa angalia utafanya nini kuchunga afya ni kitu muhimu kuliko kupotea kiboya...

Umeongea kitu Muhimu sana na hapo ndio watafutaji wengi tunafeli kuendelea kung’ang’ania mambo ambayo kimsingi yameshindikana wakati unatakiwa ufungue ubongo utazame kwingine kuna nini
 
Hahahaha usije kuamini mwanasiasa.

Za kuambiwa Ongeza na zako!
 
Husaidiw kwa ugumu wa maisha uliyonayo ila kwa THAMANI uliyonayo
 
PGO hairuhusu mtu kupigwa wacha vijana wateme nyongo.

Kwani waliyempigia kura kwa ahadi hizi hawapo wanaoendeleza kazi?
Hiyo PGO mkajadiliane kijiweni, sisi mkiambiwa pisheni mkagoma mtapigwa tu! Na ninasema mpigwe tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…