National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Nimekupunja kumbe ni 4.2 with honours ya Bsc in actuarial science.. dasa yangu lecture 😅😅 sio mwalimuNyoooooh!! 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekupunja kumbe ni 4.2 with honours ya Bsc in actuarial science.. dasa yangu lecture 😅😅 sio mwalimuNyoooooh!! 🤣🤣🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mpwayungu village kakinukisha uko nini[emoji23][emoji23]
Aloooh🤣🤣🤣🤣nimekupunja kumbe ni 4.2 with honours ya Bsc in actuarial science.. dasa yangu lecture 😅😅 sio mwalimu
🤣🤣🤣🤣🤣Huu ni uzushi. Walimu wa Tanzania wapigane? Haiwezi kutokea. Walimu wa nchi hii ni kondoo wasiyo na manyoya wanaotembea kwa miguu miwili.
Ni washezi wa taifa hili
Teh teh! Kondoo wasio na manyoya wanaotembea Kwa miguu miwili.Huu ni uzushi. Walimu wa Tanzania wapigane? Haiwezi kutokea. Walimu wa nchi hii ni kondoo wasiyo na manyoya wanaotembea kwa miguu miwili.
Ni washezi wa taifa hili
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Walimu ni moja ya watumishi waumma wenye matatizo ya afya ya akili.
#MaendeleoHayanaChama
Unajua nimeangalia live asubuhi wale waalimu wameshika mabango huku wancheza kuashiria kufurahia nikafirikia mambo kazaa nikaona jinsi ambavyo kizazi ambavyo hakina ustaraabu na udumavu wa akili:Kuna tetesi za kuwepo vurugu kubwa kwenye mkutano mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania unaoendele muda huu ndani ya Ukumbi wa CCM wa Jakaya Kikwete Dodoma.
Vyombo vya Dola tunaomba muwahi eneo la tukio mkatulize hiyo sintofahamu inayoendelea muda huu ukumbini.
Mwalimu hana hadhi, anazidiwa na mbunge
MambuziMkuu hapo ulitaka kumaanisha mbuzi ama?
Ahaa!Mambuzi
Hiyo point number five sijakupata..Unajua nimeangalia live asubuhi wale waalimu wameshika mabango huku wancheza kuashiria kufurahia nikafirikia mambo kazaa nikaona jinsi ambavyo kizazi ambavyo hakina ustaraabu na udumavu wa akili:
1. Waalimu nchi nzima hawana makazi bora
2. Waalimu nchi nzima wana madai kibao
3. Waalimu nchi nzima ofisi zao ni vituko
4. Waalimu nchi nzima hawana sauti na huwa hawasikilizwi mfano madai ya posho za kazi za ziada etc
5. Yaani Mwalimu hana hadhi, anazidiwa na mbunge
Yaani I wish ningekuwa rais, Mwalimu Minimum salary ingekuwa mil 5 na ningehakikisha kila mwalimu anajengewa nyumba ya kuishi nzuri, ningewasomeshea watotot wao na kuwalipia bima ya afya maisha yao yote. Ningehakikisha Mwalimu anapata upendeleo sehemu zote zenye huduma mfano hospitali, bank etc.
Yaani roho inaniuma sana, leo huu upumbavu na ujinga tunaoushuhudia wa vijana kukosa maono na jamii kubaki ni jamii wa watu wanaojadili watu badala ya vitu na uoga unatokana na misingi mibovu ya waalimu inayosababishwa na walimu kuwa na mazingira magumu ya kazi.
Mwalimu anadhaurika mitaani. Mbunge anaheshimika. Kinachowatofautisha ni kuwa mwalimu hana hela na mbunge maslahi makubwaHiyo point number five sijakupata..