Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Tukisema hapa kuwa walimu wanazingua, watu wananuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekumbuka chama cha mambuziMambuzi
Sio wao tu ni almost watanzania wote makondoo.Huu ni uzushi. Walimu wa Tanzania wapigane? Haiwezi kutokea. Walimu wa nchi hii ni kondoo wasiyo na manyoya wanaotembea kwa miguu miwili.
Ni washezi wa taifa hili
WameshafitinishwaKuna tetesi za kuwepo vurugu kubwa kwenye mkutano mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania unaoendele muda huu ndani ya Ukumbi wa CCM wa Jakaya Kikwete Dodoma.
Vyombo vya Dola tunaomba muwahi eneo la tukio mkatulize hiyo sintofahamu inayoendelea muda huu ukumbini.
Mkuu hapa umeattack personality ya mtuMwalimu mpwayungu village ni mtata sana! Hata Mwalimu mkuu wake anamuogopa kama ukoma pale shule ya msingi Mpwayungu.
Salary slip yake imejaa madeni! Shuleni amekuwa ni mtoro sugu! Kisa ni mwakilishi wa CWT!
Yeye ni nani?!!!!!!........ Nadhani ulikuwa na haraka ukasahau kumalizia na 'R'wewe ni Lecture sio mwalimu 😄😄😄
Sijui umetumia Vigezo na Akili Gani kuhusisha CWT(umoja wa kinguvu wa Walimu) ,NICOL(kampuni ya hiarii ya Mitaji na Precision Air kampuni Binafsi ya Ndege........sioni ni jisi Gani muundo na uendeshaji wa hizo taasisi tatu za kwanza inaweza husiana na kampuni Binafsi ya Precision AirCWT, Précision Air, MCB na NICOL ... Hizi ni taasisi zinazoendeshwa na watu wajanja wajanja. Taasisi hizi hata pale zinapokiuka masharti ya kuundwa kwake huwa haziguswi na mkono wa sheria.....Chunguza.
Umefanya vizuri kukiri kutokuona uhusiano uliyopo kati ya taasisi hizo tatu.Sijui umetumia Vigezo na Akili Gani kuhusisha CWT(umoja wa kinguvu wa Walimu) ,NICOL(kampuni ya hiarii ya Mitaji na Precision Air kampuni Binafsi ya Ndege........sioni ni jisi Gani muundo na uendeshaji wa hizo taasisi tatu za kwanza inaweza husiana na kampuni Binafsi ya Precision Air
Ni utani tu mkurugenzi. Kwanza mwenyewe ameshakanusha mara zote ya kwamba yeye siyo mwalimu! Na ni bora hata afanye kazi ya kukota makopo barabarani! Ila siyo kuwa mwalimu.Mkuu hapa umeattack personality ya mtu
Kiukweli umemkosea sana hata kama unamfahamu hii sio sawa
Yule jamaa wamualike tena wakati mwingine! 😃😃Nimekumbuka chama cha mambuzi