Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,280
- 2,522
tangu system ikukatae umejawa na chukiMimi sio mwalimu niombe msamaha bora niokote makopo nikayauze kiwandani
Mwalimu mpwayungu village ni mtata sana! Hata Mwalimu mkuu wake anamuogopa kama ukoma pale shule ya msingi Mpwayungu.Mpwayungu village kakinukisha uko nini[emoji23][emoji23]
Mkuu niombe radhi nitakushtaki, sijawa nadhiki kiasi cha kufanya kazi ya ualimu, kwanza sijasomea fani ya kinyonge kama hiyoMwalimu mpwayungu village ni mtata sana! Hata Mwalimu mkuu wake anamuogopa kama ukoma pale shule ya msingi Mpwayungu.
Salary slip yake imejaa madeni! Shuleni amekuwa ni mtoro sugu! Kisa ni mwakilishi wa CWT!
Unastahili kabisa kuwa rais wa CWT Taifa, ukilinganisha na wale mbuzi walioko huko.Kama ni kweli basi ziwe vurugu za kuleta mageuzi yenye kuwakomboa kifikra na kimaslahi maana hili kundi linakuwa kama special group vile. Ila viongozi wengi wa CWT niwanyonyaji na wahuni sana wanadhani walimu hawakwenda shule kumbe ni basi tu umasikin unawafanya wasiwe wanaharakati
Ili uwe kiongozi wa CWT shart uwe mwalimu, tayari Sina sifaUnastahili kabisa kuwa rais wa CWT Taifa, ukilinganisha na wale mbuzi walioko huko.
Ili uwe kiongozi wa CWT shart uwe mwalimu, tayari Sina sifa
Hakuna aliye mahututi ama kutangulia haitapendeza kabisaKuna tetesi za kuwepo vurugu kubwa kwenye mkutano mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania unaoendele muda huu ndani ya Ukumbi wa CCM wa Jakaya Kikwete Dodoma.
Vyombo vya Dola tunaomba muwahi eneo la tukio mkatulize hiyo sintofahamu inayoendelea muda huu ukumbini.
Acha wapigane wanajuana hao.Kuna tetesi za kuwepo vurugu kubwa kwenye mkutano mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania unaoendele muda huu ndani ya Ukumbi wa CCM wa Jakaya Kikwete Dodoma.
Vyombo vya Dola tunaomba muwahi eneo la tukio mkatulize hiyo sintofahamu inayoendelea muda huu ukumbini.
Hao ni walimu ccmHuu ni uzushi. Walimu wa Tanzania wapigane? Haiwezi kutokea. Walimu wa nchi hii ni kondoo wasiyo na manyoya wanaotembea kwa miguu miwili.
Ni washezi wa taifa hili
ATM card yako umesharudishiwa na watu wa mikopo kwa walimu?Mkuu niombe radhi nitakushtaki, sijawa nadhiki kiasi cha kufanya kazi ya ualimu, kwanza sijasomea fani ya kinyonge kama hiyo
[emoji1787][emoji1787] Vipi Mwl mbona kama umechefukwaUnamuuliza Nani hili swali?
Hii hasira ya nini? nini kimekuudhi ndugu?Huu ni uzushi. Walimu wa Tanzania wapigane? Haiwezi kutokea. Walimu wa nchi hii ni kondoo wasiyo na manyoya wanaotembea kwa miguu miwili.
Ni washezi wa taifa hili
Huwezi kuwaelewa kwa kuwa ndio waliokufundisha mpaka ukajua kusoma nabkuandika ndani ya JFWalimu wa Tanzania huwa nashindwa kuwaelewa.
MmmhKuna tetesi za kuwepo vurugu kubwa kwenye mkutano mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania unaoendele muda huu ndani ya Ukumbi wa CCM wa Jakaya Kikwete Dodoma.
Vyombo vya Dola tunaomba muwahi eneo la tukio mkatulize hiyo sintofahamu inayoendelea muda huu ukumbini.
Anavyouliza kama na mimi ni mwalimu eti[emoji1787][emoji1787] Vipi Mwl mbona kama umechefukwa