Pre GE2025 Inadaiwa Lissu atanunuliwa gari jipya na CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ccm ni chama cha mashetani weusi.
maoni na mtazamo wako ni uhuru na haki yako kikatiba..

CCM itaendelea kujali utu na mahitaji muhimu binafsi na ya Jumla ya wananchi wake bila kujali mbambamba ya mtu yeyote πŸ’
 
kwa hiyo kwa huruma ya ccm gari la milion mia 6 ndani yake mnamwekea na VX gas ili mmalizane naye kabisa cyo
hayo ni maoni na mtazamo wako ambao ni uhuru na haki yako kikatiba πŸ’

daima CCM itaendelea kujali utu na mahitaji ya wanainchi wake binafsi na jumla kadiri inavyonekana inafaa πŸ’
 
CCM haijawahi kuwa na pesa zake, CCM huchota pesa za serikali kwa matumizi yake ujiwemo ukarabati wa viwanja ilivyotupora wananchi.
 

"It doesn't matter how thirsty you are, there are some people you should never ask water from, they will tell the whole world they gave you wine."​

 
Mbona anaposema
hadharani,viongozi wenu hawajibu?huu ni uhuni.

Jitokezeni mumjibu kama mmemlipa anaposema.
 
YOTE SAWA .LAKINI CCM ISIJE MCHUKUA KUGOMBEA URAIS.TAFADHALI SANA AISEE
 
Na zile 100m na ushee atatumia kwa kujenga ofisi yake sasa
Ila kelele zinalipa asikuambie mtu
Usipoongea hupati kitu
Ila sio matajiri wa jf
 
Mbona anaposema

hadharani,viongozi wenu hawajibu?huu ni uhuni.

Jitokezeni mumjibu kama mmemlipa anaposema.
mbona alishaeleza mwenyewe bayana gentleman?πŸ’

ingekua si hivyo I think ndio ingekua agenda yake saivv 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…