Inadaiwa Lucas Mwashambwa amepewa nafasi CCM ndio maana haweki namba siku hizi

Sasa hivi wamemuongezea malipo kwa siku alipewa afuu3
 
Ni afisa propaganda section ya mitandaoni
 
Sasa hivi wamemuongezea malipo kwa siku alipewa afuu3
Lucas Mwashambwa kama mnakumbuka alijitambulisha anatoka maeneo ya mbozi mbeya huko na wakati anajifunza uchawa pengine kweli alikuwa huko ila baada ya kumulikwa na vyombo amepewa milleage na wasaidizi wa habari ndani ya uvmcc anapata ripoti popote duniani tena in a flash of an eye na picha halisi za tukio instantly so ni afisa habari wa chama hapa jamiiforum na mwenye wasaidizi lukuki chini ya ofisi ya patrice emiri nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…