joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,123
- 2,935
huwa ananichosha pale anaandika et wanachi wabubujikwa machozi ya furaha😛
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba Moderator wakuchukulie hatua kali sana maana umedanganya. Wakutake uthibitishe taarifa hiiWewe unajua ninachosema ni kweli na kama sheria za jamiiforum zingeruhusu ningeweka bayana au wauweke uzi huu kwenye jamiichek kule hakuna ban nikamwage upupu.
Sasa hivi wamemuongezea malipo kwa siku alipewa afuu3Vyanzo vyangu vya kuaminika toka coridos of power vimenitonya mwanachama mtokwa machozi ya furaha pale anapotajwa kiongozi mkuu amepata teuzi huko ccm. Na ndio maana siku hizi ameacha kuweka namba Ila kwa maadili ya Jamiiforum siwezi kuweka hapa utambulisho wake.
Hongera comrade Lucas Mwashambwa kwa teuzi.
Mods msifute huu uzi.
Ni afisa propaganda section ya mitandaoniVyanzo vyangu vya kuaminika toka coridos of power vimenitonya mwanachama mtokwa machozi ya furaha pale anapotajwa kiongozi mkuu amepata teuzi huko ccm. Na ndio maana siku hizi ameacha kuweka namba Ila kwa maadili ya Jamiiforum siwezi kuweka hapa utambulisho wake.
Hongera comrade Lucas Mwashambwa kwa teuzi.
Mods msifute huu uzi.
Lucas Mwashambwa kama mnakumbuka alijitambulisha anatoka maeneo ya mbozi mbeya huko na wakati anajifunza uchawa pengine kweli alikuwa huko ila baada ya kumulikwa na vyombo amepewa milleage na wasaidizi wa habari ndani ya uvmcc anapata ripoti popote duniani tena in a flash of an eye na picha halisi za tukio instantly so ni afisa habari wa chama hapa jamiiforum na mwenye wasaidizi lukuki chini ya ofisi ya patrice emiri nk.Sasa hivi wamemuongezea malipo kwa siku alipewa afuu3
Sasa kama alikuwa anaweka namba yake Kuna cha kuficha hapo?namba Ila kwa maadili ya Jamiiforum siwezi kuweka hapa utambulisho wake.
Hahaa na yeye amesanuka hataki kujipa umuhimu kwenye majukumu yasiyomhusuBahili mtu mwenyewe! Na kunioa hataki🥲
Duh,mbona kama unatutenga au unaogopa vizingaNaomba Moderator wakuchukulie hatua kali sana maana umedanganya. Wakutake uthibitishe taarifa hii
SiwapendiiiHahaa na yeye amesanuka hataki kujipa umuhimu kwenye majukumu yasiyomhusu
CHAWABATA (Chama cha Wanaume Bahili Tanzania) for life