Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Alirogwa siyo bure
 
Nadhani alikuwa ana fosi upendo kitendo cha kusomesha kisha bibie akusaliti akaolewe na mwingine then apigike huko tena amrudie kwa hakika huyo marehem alipenda kwa dhati bahati mbaya mahali alipo penda Sipo.
alikuwa fala wa mapenzi
 
Oswayo namfahamu vizuri Sana ana wake 4 na huyo mwanamke alikufa hakua mwanamke ila alikua KAHABA .Jamaa alivomuoa alimpa miladi ili ambdilishe aache ukahaba matokeo yake yamekua kifo.
kunguru hafugiki
 
Huyu maza alitakiwa nae ale shaba ya mguu 😀😀😀😀
Anapigiwa simu mtt wake eti anapokea yeye anajibu amechoka kalala 😳😳😳
mama huyu namfananisha na mama yake wema sepenga kiitikadi😄😄😄 yani anaonekana alikuwa mnufaika nambari moja wa shughuli za kijasusi anazoendesha binti yake na ndio maana utaona binti yake ni kama alikuwa malaika katika kila maelezo anayotoa anapaka icing sugar😄!
 
Ulifanya uamuzi wa busara sana mkuu. Very diplomatic decision kujiweka kando tu.
 
Atapokeaje wakati zinaita akiwa yupo juu ya kiuno cha mwanaume ampendaye😄 akiwa anapigwa manyama nje...manyama ndani huku anaugulia utamu njoo utamu kolea?

Usicheze na penzi mzee, pesa itafanya vyote ila haiwezi kumfanya mtu asiekuwa na hisia na wewe akupende hata umjengee kiwanda kama cha bakhresa!
 
Wee umeskia wapi au chanzo kimepatikanaje wakati mtuhumiwa bado anasakwa na marehem alishakufa..kibongo bongo kila mtu ni msemaji
 
Kama unatumia pesa ili kumpata mwanamke, wewe ni mwanaume mjinga sana.

Sijasema usihonge.

Marehemu Said ni mmojawapo ya hao, ndio maana kafa kipopoma.
Hii mbinu huwa haileti matokeo chanya. Pesa itakusogezea malaya lukuki ila usitegemee kupata mwanamke wa kudumu kwa kumrubuni na pesa.

For disposable relations tumia pesa kupata utakacho ila for serious relationships tumia akili tu na utashi wako kushawishi mwanamke aelewe tu kuwa nini una maanisha pasipo kuegamia kweye intimidation ya pesa.
 
Wanaume wa kanda ya ziwa na misimamo yao VS Wanawake wa Singida na drama zao!
Lazima pangechimbika haya makabila huwezi kuwaweka pamoja km mke na mume
Singida inaingiaje hapo Kwa Warangi na Ngisha!?
 
Kama unatumia pesa ili kumpata mwanamke, wewe ni mwanaume mjinga sana.

Sijasema usihonge.

Marehemu Said ni mmojawapo ya hao, ndio maana kafa kipopoma.
Rekebisha maneno,kama unatumia pesa kumpata mwanamke wa kuoa,ila kupiga tu haina noma
 
Hapo umempa faida yeye maana lengo lake ni wewe umwache hilo kafanikiwa. Shida ya jamiiforum kila mtu ana gari isipokuwa mm tu ebu onyesha kadi ya hilo gari unalosema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…