Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Hakusumbui huyo mke wako hapo ulipohamia?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapo umempa faida yeye maana lengo lake ni wewe umwache hilo kafanikiwa. Shida ya jamiiforum kila mtu ana gari isipokuwa mm tu ebu onyesha kadi ya hilo gari unalosema
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji91][emoji91][emoji91][emoji16][emoji16][emoji16]

Mkuu gari ni kitu cha kawaida daah[emoji1787][emoji1787]
 
Fake story mpaka vichekesho tunaoujua ukweli acha tucheke tu, kikubwa huyo Said alikuwa mgonjwa wa akili na hela alikuwa nazo zamani kipindi cha JPM alifirisika ndo akaanza upya alipoanza kupata pesa akamuweka pembeni mke mkubwa ndo kwenda kumuoa huyo bi mdogo ila huyo bi mdogo alimkuta tayari na maisha yake mazuri kiasi aliyotoka nayo kwa mume wa Kwanza na mume wa Kwanza ndo alimuachisha shule na kumjenga kiuchumi tatizo likawa mtoto kitu kilichofanya aachike na kuanza kuishi maisha ya kihuni na starehe na huyo Said kamuoa akijua tabia zake.
 
Uongo; wameoana Dec.30, 2021

Kwa hiyo ndani ya miezi mi 5 ajengwe nyumba 3, afunguliwe biashara ya salon, na bado aombe talaka ndani ya kipindi hicho hicho kifupi?
 
Pole shost but mbona kama wewe ndo ulioa?[emoji849][emoji849][emoji849][emoji848]
 
Kwahio alitaka aachike aondoke na mali kirahisi like that??

Hapo mabinti wapenda hela bila kuzifanyia kazi mjifunze kwa kweli
Tafuteni zenu jmn

Ningekua mwanaume nisingekuua ila ningechukua kila kitu changu
Hela ngumu jmn nyiee
 
Kwahiyo Swalha alikuwa well off kiuchumi?

Huyo x mme wake mbona tunaambiwa ni kapuku humu?

Ni kweli kampa nyumba tatu magari na saluni?
 
Na ujinga mkubwa ulijidhiirisha pale alimpomjengea nyumba "mke" na kumkabidhi tena tatu na biashara ya saloon On time
 
Maslay qn sijui y hawaridhiki

Cheap thinking

Basi walau angechepuka kwa siri sana asiachike tena
 
Kwahiyo Swalha alikuwa well off kiuchumi?

Huyo x mme wake mbona tunaambiwa ni kapuku humu?

Ni kweli kampa nyumba tatu magari na saluni?
Hakuwa kapuku ni maneno ya kujifurahisha tu, Swalha kilichomutoa kwa mume wa Kwanza ni kukosa mtoto na siyo umasikini, alafu huyo Said kamuoa akiwa na saluni yake kubwa tu na alikuwa na jina tayari kwa kufanya makeup, huyo Said alipomuoa hakutaka afanye tena hiyo kazi na alitaka wazunguke naye visiwani tu kitu kilichofanya wapambe wa Swalha kumshauri asiache biashara yake na ndo ugomvi wa ndoa yao ulipoanzia maana mwanaume alitaka mke atulie ndani tu au akubali kuzunguka naye visiwani Sasa mke akaanza kudai talaka Ili awe huru na kazi zake na starehe zake.
 
Dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake, sijui kwa nini wanaume tunashindwa ku-apply hii principle.......sijui ndo haya mambo ya ndoa ya mke mmoja walotuletea wazungu. Hiyo ni moja ya adhabu ambayo Mungu alitoa kwa mwanamke, kwamba atakuwa na wivu kwa mume wake. Mtu una pesa, mwanamke anazingua......unashindwa kutoka na mwanamke mwingine kweli? unashindwa kum-blackmail na kumwekea sanctions hadi akili imkae sawa? Mfano, mchukulie Kanye West, si anatoka na kifaa kingine na maisha yanaenda.........
 
Hivi Itakuwaje Tukiwaza kuwa Ex wa Swalha ndo kawaua wote wawili na kwenda kumtupa Said Ziwani?
Off point

Hadithi yako hii ingekuwa na mantiki kabla familia na polisi hawajazungumza
 
Makes sense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…