Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Aisee....
 
Kama unatumia pesa ili kumpata mwanamke, wewe ni mwanaume mjinga sana.

Sijasema usihonge.

Marehemu Said ni mmojawapo ya hao, ndio maana kafa kipopoma.
Sikia bro!

Kila mtu anafanya kosa ktk maisha yake no matter ni kosa la namna gani na ktk mazingira gani,mwengine anachezea kazi nzuri anafukuzwa mwengine ananunua kiwanja cha serikali hela inapotea mwengine kama hivi anajichanganya kwa gold digger anapigwa matukio so yote ni matokeo ya makosa ktk maisha.

Tusilaumiane itoshe kusema kwamba kwanza mwamba ali-comfrim haachi anapumua ili mengine yaendelee.
 
Mwanamke mzalishe kwanza afu ndo umujengee ili mukiachana watoto wako waendelee kumiliki mali.
 
Hili ni somo zuri sana kwa vijana wa hapa Jf Wanaokazana Kusema Tutafute pesa kwanza afu mapenz badae. Unakazana kutafuta pesa baada ya kuzipata unaambulia kifo kwa kumpata mwanamke asiekupenda kwa dhati
 
Naanza waeelewa wazungu wanaosaini prenup agreement

U can enjoy my money and properties tukiwa wote
Ukifanya viroja tuachane utaondoka km ulivyokuja

Ukiwa tajiri js sign a prenup
Na wosia acha kwa mwanasheria
 
Dah! Watoto hawamwambii mama yao baba alipo.
 
Siyo kuua lakini
Kwann upoteze maisha
Kwa ajili ya mwanamke wakati
Pisi kali ziko za kumwaga

Ova
Mimi siwezi kuchinja hata Kuku, ndio niweze kumchinja binadamu mwenzangu? Ila nitamnyoosha
 

Attachments

  • IMG-20220601-WA0026.jpg
    61.9 KB · Views: 33
  • IMG-20220601-WA0025.jpg
    75.3 KB · Views: 34
Kwani walichukuana juu kwa juu, si kila mmoja alijua changamoto za kazi ya mwenzie? Kwa nini wadaiane TALAKA ndani ya miez mitano Tu huku mwanzo walijuana?
 
Wewe haya nani amekusimulia wakati wahusika wote ni marehemu? Watanzania kwa talarila hamjambo!!
 
Naanza waeelewa wazungu wanaosaini prenup agreement

U can enjoy my money and properties tukiwa wote
Ukifanya viroja tuachane utaondoka km ulivyokuja

Ukiwa tajiri js sign a prenup
Na wosia acha kwa mwanasheria
Ufafanuzi mkuu..
Hiyo prenup ndo nini?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…