Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Kuna maelezo mawili yananichanganya hapo dadeq

1)Mama mzazi anasema mtoto alikuwa kwake wakisubiri kupatanishwa

2)kuna mwingine wanasema alienda Shinyanga kupodoa wateja akarudi amechoka akalala hivyo hakupokea simu usiku

Hapo kuna ukweli unafichwa inaonesha wote wanajaribu kumtetea aliyeuliwa.

Sitaki kuamini kosa la kutokupika chakula llisababishe hasira ivyo

MUNGU AWALAZE WANAPOSTAHILI
 
Ufafanuzi mkuu..
Hiyo prenup ndo nini?!
Pre-Nuptial agreement
Makubaliano ya kisheria kabla ya kufunga ndoa na mtu kuhusu Mali


A prenuptial agreement, antenuptial agreement, or premarital agreement(commonly referred to as a prenup), is a written contract entered into by a couple prior to marriage or a civil union that enables them to select and control many of the legal rights they acquire upon marrying, and what happens when their marriage eventually ends by death or divorce.

Source:Wikipedia
 
🙏🙏
 
Love in dangerous time
Mimi MKE wangu alikuwa girlfriend wangu
Je MKE uliye naye alikuwa girlfriend wako Kama sio jua kwamba unaibiwa Kama umeoa mwanamke mzuri
 
Hili ni somo zuri sana kwa vijana wa hapa Jf Wanaokazana Kusema Tutafute pesa kwanza afu mapenz badae. Unakazana kutafuta pesa baada ya kuzipata unaambulia kifo kwa kumpata mwanamke asiekupenda kwa dhati
umesema kweli.
 
Hawezi pokea simu wakati ameukalia
 
Ndio lugha zao hizo kupiga simu kwa mama zao kuwa ananyongwa huku, mimi mama watoto wangu amekula sana mikanda, makofi na ngumi ila namshukuru Mungu alikuwa mvumilivu na hadi tumezeeka pamoja.

Kitu nilichogundua malezi, yamewaharibu kwa kiasi kikubwa ukichanganya na ujio wa smartphone na sheria zinazowalinda hawa mabinti ndio wamezidi kuwa na jeuri.
 
Kuna demu mmoja pisi kali wa kizenji nlikua naye miaka ya nyuma Zenji kuna siku kaja gheto akaanza kuniletea drama za kunisifia baadae akachomekea mdogo anaumwa kwa hiyo hatokuja atalala naye kwake, machale yaka ncheza kwa zile sifa alizonimwagia, nikaamka mida kama ya 5 usiku nikamnyatia hadi kwake dirishani nikamchungulia nikakuta kavaa night dress na bikini anaangalia bongo star search, akapokea simu ya njemba inakuja inataka ifungiliwe geti izame mi nikabonyea jamaa kaja mpaka mlangoni geti likafunguliwa akazama nikarudi tena dirishani nikamchek jamaa kakaa kitandani anaomba maji aoge dah nikasema huyu kum ..a kumbe ndio mishe zake mapigo ya moyo yalienda mbio nikatamani kuzikunja nondo ni zame ndani.... nikaona nikiondoka bila kumstua kua nimeona kila kitu kesho atakataa nikamwita akaitika nikamwambia nimekuja kumwona mgonjwa akakimbilia getini akaniambia mgonjwa amelala nikamwambia acha ukum..a nimeona kila kuanzia kesho tusitafutane nikasepa..cha ajabu yule mzenji akawa bado analilia anaomba msamaha nikaona sio issue huyu ngoja nimchukulie kama malaya nikaanza kumla tako akazidisha wivu nika wabandua shoga zake wanne lkn wapi haniachi akanipa mln 3.5 ni mnunulie kiwanja ili awe karibu namie hadi leo nikimuhitaji anakuja namfanya matusi anasepa hawa mademu sio kuwa nao serious sana utaua au kujiua bure
 
dada uliolewa na kamarioo[emoji29][emoji29][emoji29]
 
ungejichanganya ungeitiwa mwizi,habari yako ya kuchomwa na tyre tungeisoma humu jf[emoji23][emoji23]
 
nyumba yao tumeiona bana ni zile tulizoziacha makwetu huko tarafani,mtu ambaye yuko vyema kabla dada anashindaje kwa mdogo wake na kushona huko whole day,mdogo mtu pia,shemeji wa kiume pia anazunguka na shemejiye maziwani!!!!

harafu dalili ya kiburi nimeiona kwa dada mtu kusema nilichoka kumsikiliza shemeji maana anaelezwa haelewi,mama wa mwanaume kaja nyumba imefungwa (why!!!!),kama ni hivi unadhani wangeshindwa kusema dada alikuwa anadai taraka baada ya kutofautiana na shemeji kimisimamo!!!

hatuhukumu kwa ujuaji,ila shemeji alipalilia zaidi haya kutokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…