Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Habari za ndani kabisa zinasema:

1. Marehemu kabla ya kuolewa na SAID alikuwa ameolewa na jamaa maeneo ya Kirumba Mwanza kisha wakaachana. Sababu ya kuachana inasemekana ni ex mume wake kutokuwa na pesa

2. Marehemu akaolewa na SAID na inasemekana alifuata pesa kwa SAID

3. Said alimjengea marehemu nyumba tatu na gari 2 plus kumfungulia biashara ya saluni.

4. Baada ya kupata mali marehemu akaanza vituko kwa Said kwa sababu inasemekana hakuwa akimpenda kwa dhati Said na kwamba kwa Said alifuata hela tu, so akawa anafanya vituko ili Said atoe talaka ili marehemu arudiane na ex wake but Said akawa anagoma kutoa talaka licha ya vituko.

5. Siku ya tukio kama mlivyo sikia wengi kulikuwa na : missed call 42, marehemu inasemekana alipotoka out alikuwa na ex husband wake.

CHANZO: AFRICANDADAZ BLOG

Pia soma >
Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI
Tuache uongo
 
Safi sana...endelea kupokea baraka. Hakika wewe ni mwanamke wa kipekee
Asante sana . Kati ya mambo ambayo sipendi ni ugomvi, kugombana na mimi ufanye kazi ya ziada. Hata huyo mchepuko alinipigia kipindi hicho nikamuambia umeshamaliza yote ambayo unataka kuniambia? Maliza kila kitu halafu usinisumbue. Ilitongozwa kama mimi kwa hiyo sitahangaiki na wewe. Umeshajua kama jamaa ana mke ni wewe kusuka au kunyoa. Ila usihangaike na mimi wewe deal na mtu wako. Toka siku hiyo hakunipigia tena. Baada ya muda nikadai talaka BAKWATA, nikaandikiwa barua mahakamani , ndoa ikauvunjwa. Sikutaka malumbano na mtu tena
 
Asante sana . Kati ya mambo ambayo sipendi ni ugomvi, kugombana na mimi ufanye kazi ya ziada. Hata huyo mchepuko alinipigia kipindi hicho nikamuambia umeshamaliza yote ambayo unataka kuniambia? Maliza kila kitu halafu usinisumbue. Ilitongozwa kama mimi kwa hiyo sitahangaiki na wewe. Umeshajua kama jamaa ana mke ni wewe kusuka au kunyoa. Ila usihangaike na mimi wewe deal na mtu wako. Toka siku hiyo hakunipigia tena. Baada ya muda nikadai talaka BAKWATA, nikaandikiwa barua mahakamani , ndoa ikauvunjwa. Sikutaka malumbano na mtu tena
Safi sana...nashangaa wanawake wengine wanenda kuanza ugomvi na mwanamke mwenzie wakati mumeo ndio aliyemtongoza huyo mwanamke.
Wee tulia zako panga maisha yako kama jimbo lipo wazi mie naomba nitume maombi😜
 
Kuna demu mmoja pisi kali wa kizenji nlikua naye miaka ya nyuma Zenji kuna siku kaja gheto akaanza kuniletea drama za kunisifia baadae akachomekea mdogo anaumwa kwa hiyo hatokuja atalala naye kwake, machale yaka ncheza kwa zile sifa alizonimwagia, nikaamka mida kama ya 5 usiku nikamnyatia hadi kwake dirishani nikamchungulia nikakuta kavaa night dress na bikini anaangalia bongo star search, akapokea simu ya njemba inakuja inataka ifungiliwe geti izame mi nikabonyea jamaa kaja mpaka mlangoni geti likafunguliwa akazama nikarudi tena dirishani nikamchek jamaa kakaa kitandani anaomba maji aoge dah nikasema huyu kum ..a kumbe ndio mishe zake mapigo ya moyo yalienda mbio nikatamani kuzikunja nondo ni zame ndani.... nikaona nikiondoka bila kumstua kua nimeona kila kitu kesho atakataa nikamwita akaitika nikamwambia nimekuja kumwona mgonjwa akakimbilia getini akaniambia mgonjwa amelala nikamwambia acha ukum..a nimeona kila kuanzia kesho tusitafutane nikasepa..cha ajabu yule mzenji akawa bado analilia anaomba msamaha nikaona sio issue huyu ngoja nimchukulie kama malaya nikaanza kumla tako akazidisha wivu nika wabandua shoga zake wanne lkn wapi haniachi akanipa mln 3.5 ni mnunulie kiwanja ili awe karibu namie hadi leo nikimuhitaji anakuja namfanya matusi anasepa hawa mademu sio kuwa nao serious sana utaua au kujiua bure
Wee mwamba sanaa....
 
Kuna demu mmoja pisi kali wa kizenji nlikua naye miaka ya nyuma Zenji kuna siku kaja gheto akaanza kuniletea drama za kunisifia baadae akachomekea mdogo anaumwa kwa hiyo hatokuja atalala naye kwake, machale yaka ncheza kwa zile sifa alizonimwagia, nikaamka mida kama ya 5 usiku nikamnyatia hadi kwake dirishani nikamchungulia nikakuta kavaa night dress na bikini anaangalia bongo star search, akapokea simu ya njemba inakuja inataka ifungiliwe geti izame mi nikabonyea jamaa kaja mpaka mlangoni geti likafunguliwa akazama nikarudi tena dirishani nikamchek jamaa kakaa kitandani anaomba maji aoge dah nikasema huyu kum ..a kumbe ndio mishe zake mapigo ya moyo yalienda mbio nikatamani kuzikunja nondo ni zame ndani.... nikaona nikiondoka bila kumstua kua nimeona kila kitu kesho atakataa nikamwita akaitika nikamwambia nimekuja kumwona mgonjwa akakimbilia getini akaniambia mgonjwa amelala nikamwambia acha ukum..a nimeona kila kuanzia kesho tusitafutane nikasepa..cha ajabu yule mzenji akawa bado analilia anaomba msamaha nikaona sio issue huyu ngoja nimchukulie kama malaya nikaanza kumla tako akazidisha wivu nika wabandua shoga zake wanne lkn wapi haniachi akanipa mln 3.5 ni mnunulie kiwanja ili awe karibu namie hadi leo nikimuhitaji anakuja namfanya matusi anasepa hawa mademu sio kuwa nao serious sana utaua au kujiua bure
😳😳Jamani!
 
Hakuwa kapuku ni maneno ya kujifurahisha tu, Swalha kilichomutoa kwa mume wa Kwanza ni kukosa mtoto na siyo umasikini, alafu huyo Said kamuoa akiwa na saluni yake kubwa tu na alikuwa na jina tayari kwa kufanya makeup, huyo Said alipomuoa hakutaka afanye tena hiyo kazi na alitaka wazunguke naye visiwani tu kitu kilichofanya wapambe wa Swalha kumshauri asiache biashara yake na ndo ugomvi wa ndoa yao ulipoanzia maana mwanaume alitaka mke atulie ndani tu au akubali kuzunguka naye visiwani Sasa mke akaanza kudai talaka Ili awe huru na kazi zake na starehe zake.
Ooh asante mkuu kwa ufafanuzi
 
Dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake, sijui kwa nini wanaume tunashindwa ku-apply hii principle.......sijui ndo haya mambo ya ndoa ya mke mmoja walotuletea wazungu. Hiyo ni moja ya adhabu ambayo Mungu alitoa kwa mwanamke, kwamba atakuwa na wivu kwa mume wake. Mtu una pesa, mwanamke anazingua......unashindwa kutoka na mwanamke mwingine kweli? unashindwa kum-blackmail na kumwekea sanctions hadi akili imkae sawa? Mfano, mchukulie Kanye West, si anatoka na kifaa kingine na maisha yanaenda.........
Kanye huyu huyu ambae anataka kuwa stylist wa Kim kwa ajili ya wivu?

Hivi unamuona Kim kapoa eeh[emoji16][emoji16]
 
Kanye huyu huyu ambae anataka kuwa stylist wa Kim kwa ajili ya wivu?

Hivi unamuona Kim kapoa eeh[emoji16][emoji16]
Kim analia wivu bhana, huoni hata alivyo hana furaha kwa sasa......Kanye hawezi kuwa na wivu kwa sababu anatoka na mibebez matata ambao ni young age kuliko Kim kibibi......
 
Kuna demu mmoja pisi kali wa kizenji nlikua naye miaka ya nyuma Zenji kuna siku kaja gheto akaanza kuniletea drama za kunisifia baadae akachomekea mdogo anaumwa kwa hiyo hatokuja atalala naye kwake, machale yaka ncheza kwa zile sifa alizonimwagia, nikaamka mida kama ya 5 usiku nikamnyatia hadi kwake dirishani nikamchungulia nikakuta kavaa night dress na bikini anaangalia bongo star search, akapokea simu ya njemba inakuja inataka ifungiliwe geti izame mi nikabonyea jamaa kaja mpaka mlangoni geti likafunguliwa akazama nikarudi tena dirishani nikamchek jamaa kakaa kitandani anaomba maji aoge dah nikasema huyu kum ..a kumbe ndio mishe zake mapigo ya moyo yalienda mbio nikatamani kuzikunja nondo ni zame ndani.... nikaona nikiondoka bila kumstua kua nimeona kila kitu kesho atakataa nikamwita akaitika nikamwambia nimekuja kumwona mgonjwa akakimbilia getini akaniambia mgonjwa amelala nikamwambia acha ukum..a nimeona kila kuanzia kesho tusitafutane nikasepa..cha ajabu yule mzenji akawa bado analilia anaomba msamaha nikaona sio issue huyu ngoja nimchukulie kama malaya nikaanza kumla tako akazidisha wivu nika wabandua shoga zake wanne lkn wapi haniachi akanipa mln 3.5 ni mnunulie kiwanja ili awe karibu namie hadi leo nikimuhitaji anakuja namfanya matusi anasepa hawa mademu sio kuwa nao serious sana utaua au kujiua bure
Hahahahahaha aseee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Asante ndugu, ila Mungu ni mwema, baada ya miaka 4 Mungu alinipa zaidi ya vile na ninaishi kwa amani. Waliokuwa wakwe zangu mpaka leo tunawasiliana vizuri tu na wananiombea sana baraka .
Je umepata mwanaume mwingine? Mwenye mapenzi ya kweli?
 
Safi sana...nashangaa wanawake wengine wanenda kuanza ugomvi na mwanamke mwenzie wakati mumeo ndio aliyemtongoza huyo mwanamke.
Wee tulia zako panga maisha yako kama jimbo lipo wazi mie naomba nitume maombi[emoji12]
Tatizo una bacteria wale wasiopona eti?

Hahahahaha[emoji28][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kim analia wivu bhana, huoni hata alivyo hana furaha kwa sasa......Kanye hawezi kuwa na wivu kwa sababu anatoka na mibebez matata ambao ni young age kuliko Kim kibibi......
Hahahha Kim ana mbebez na yy bana waiii....hamna kubembelezana
 
Back
Top Bottom