Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Ebu waza, revolver kawaida ni risasi 6 , ina maana mume kwa hasira alifyatau bunduki risasi zote , ame reload na kufyatua moja zaidi -right in the head! Said alidhamiria kuuwa kweli.
Wewe unajuwa silaha au unataka uonekane unajuwa silaha.

Kuna magazine hapa inaload risasi 15.

Nikiwa na magazine mbili ni kama nina SMG.
 
Hahaah ya jamaa inatumia ile system ya zamani yaan unawezeka risasi moja moja kwenye rlover ukipress trger inazunguka hivi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Mmmmh mwaka huu kazi tunayo🥴🥴
 
Huyu alikuwa popoma TU,alishindwa kumwendea kwa kalumanzira akampiga tukio la kumsababishia ajali kweli?
 
Mnatumiaje mabastola ya kizamani hvo? Ni ubahili wa kununua za kisasa ama ni nini?
Unaelewa utaratibu wa kumiliki silaha? Au unadhani kama unavyobadili simu tu unatumia Samsung ikitoka Iphone macho matatu unanunuwa unaweka line twende kazi.

Una uelewa wowote hata ukitaka kubadirisha pistol uliyonayo unafuata utaratibu upi? Una uelewa wowote au unafurahisha genge?
 
Mmmmh mwaka huu kazi tunayo🥴🥴
Hakuna kazi yoyote, tatizo siyo silaha wengi hamjui Watanzania wengi ni wagonjwa wa akili.

Msiweke mawazo ya kupimana ukimwi tu kabla ya ndoa bali sharti liwekwe na madhehebu ya dini na Serikali iwe ni lazoma kabla ya ndoa wote wawili mpimwe afya ya akilina amini usiamini wanawake wengi ndio wenye ugonjwa wa akili bila wao kujijuwa.
 
Hakuna kazi yoyote, tatizo siyo silaha wengi hamjui Watanzania wengi ni wagonjwa wa akili.

Msiweke mawazo ya kupimana ukimwi tu kabla ya ndoa bali sharti liwekwe na madhehebu ya dini na Serikali iwe ni lazoma kabla ya ndoa wote wawili mpimwe afya ya akilina amini usiamini wanawake wengi ndio wenye ugonjwa wa akili bila wao kujijuwa.
Kwa nini wanawake?mbona wanaume ndio wanaongoza kwa vitendo shangavu?
 
Wanawake wasiojielewa wapo wengi tu tuishi nao kwa akili.juzi nilipatwa na hasira nikampa mabao mawili ya nguvu.wana majibu ya ovyo sana .akakimbilia kumpigia simu mamaake kwamba nataka kumuua .mamaake kanipandia hewani eti nataka kumla mwanawe nyama.hakunipa nafasi ya kunisikiliza so simlaumu huyu jamaa.makosa yao yanatufanya tuonekane wabaya kwa jamii
...Nyinyi Wenzetu mmewazoesha vipi Wakwe zenu kiasi anaweza kuendea Hewani na kusema Shombo???
Mimi Zaidi ya Kusalimiana Kwa Heshima, hakuna Cha Zaidi!
Na akiniona nimekaa Sebuleni Anatenda kukaa jikoni na Mwanawe!!
Ndio Wakwe zetu hao wa Kizamani wanaojua Nafasi Yao!
Hawa Wenu wa Kislku hizi ambao Mkwe anakaribiana na Mwanae, Mkeo, kiumri, Shida Tupu!!
 
Na Bado jamaa nasikia alitoka safari,na Akamuomba mke wake aende akampokee. Etii mke akamjibu gari haina Mafuta chukua boda..
...Alikuwa anakitafita Kifo! Yaani ushindwe kuweka Gari Mafuta Ukampokee Mumeo kisa Gari Haina Mafuta!! Wee SI Mfanyabiashara???
 
Wanawake ni watu wa ajabu sana. Mimi wa kwangu nilivyoona ananiletea vitimbwi vya kutoka jioni saa moja anarudi usiku saa tano Anakuta nimeshapikia watoto na kuwalisha na yeye anachukua chakula nilichopika anakula nikajua hapa tunapoelekea kutakuwa pabaya zaidi

Nikamuambia nimebadilishwa kituo changu cha kazi
Akaniuliza wapi? Nikamuambia sijajua nitakuambia nikishafika
Nikaweka nguo kwenye begi nikatupia kwenye gari yangu nikaondoka nikanunua simu ya nikamuelekeza mtoto wangu mkubwa akachukue kwenye duka flani hivi Ili niwe natuma pesa hapo via Airtel money
Mpaka Leo hii hapa
Nilim-block sikutaka hata kusikia sauti yake nikaenda nikapanga nyumba nikaanza maisha mapya
Nikawaelekeza watoto home wanakuja Kila week end wanakaa nawapeleka out wanafurahi jumatatu jumapili jioni nawarudisha shuleni
Ndio imeisha hivyo
Usiongeze tatizo juu ya tatizo. Wana laana hawa watu. Ametoka kwao masikini wa kutupwa amejimilikisha mjengo kirahisi kabisa. Na ndio wanavyofanya siku hizi akishaona mafanikio
...Good!....
 
Hivi uingize kichwa cha binadamu kwenye draya saa nzima huo ubongo unaweza kubaki salama?

Fuatilia kwa makini wanawake wanaonyoa nywele vipara na wanaonyoa kawaida na kutumia mafuta ya nywele tu kuna siri utaigunduwa.
dah[emoji23][emoji23]
 
Unaenda kuoa sijui Mnyiramba, Mnyaturu au Mrangi lazima utakuwa mwehu. Kuna siku nilikuwa na dada wa kirangi Dodoma nikaenda nae sokoni. Kuna mzee mmoja nae ni Mrangi akaniita na kuniambia huyo ndio mkeo nikajibu ndio. Akasema kijana achana na mwanamke wa Kirangi. Kumbuka huyo mzee ni mrangi nae.
Dah!..noma hii
 
Usahihi ni SWALHA, SALHA ni kiswahili zaidi
Hamna jina la kiislam laiiutwalo Swalha..

Salha neno la Kiarabu maana yake ni mtu mwenye heshima,mtu anaejiheshimu
 
Ndio lugha zao hizo kupiga simu kwa mama zao kuwa ananyongwa huku, mimi mama watoto wangu amekula sana mikanda, makofi na ngumi ila namshukuru Mungu alikuwa mvumilivu na hadi tumezeeka pamoja.

Kitu nilichogundua malezi, yamewaharibu kwa kiasi kikubwa ukichanganya na ujio wa smartphone na sheria zinazowalinda hawa mabinti ndio wamezidi kuwa na jeuri.
Daaaah yaani kapiga simu analia kwa sauti kama kafiwa wakati kipigo kiliisha mda mtu.kweli tuishi nao kwa akili.naomba Mungu nifike kama wewe.
 
Kesha lazwa chali huyo.Jina sio issue tena!
Jina litabaki kuwa ishu,mnaharibu majina ya watu
IMG_20220602_212936.png
 
Back
Top Bottom