Sawa wewe usie limbukeni, chombo cha moto umeona sufuria au jiko hilo!Limbukeni wa vyombo vya moto.. Kama nini nikukumbushe uwe makini kisheria na waharifu..
[emoji23] Nikweli, hao si ndio waliomsambaratisha Zelwisky Kiongozi wa jeshi la kijerumani kazi nzuri ikifanyiwa na Babu Yao Mkwawa, mpaka dunia ikasimama!Majibu ya nyanda za juu kusini huwa nchi inasimama kwa muda.
Wapi kasema
Nimekuuliza unafahamu taratibu za kumiliki silaha kisheria?Nikuulize wewe unaefurahisha genge, nina Marker4 na Shotgun niliyorithishwa na mzee wangu kihalali kabisa na pia nina Beretta Pxs niliyoinunua kwa pesa yangu pale Tanganyika arms. Na vyote vipo kihalali hadi hati safi ninayo.
Kama ni kweli unamiliki silaha elewa kwamba silaha hazibadirishwi kama chupi au simu za Iphone kila toleo ikitoka unanunuwa tu na kuweka line na kuitumia, haiko hivyo msidanganyane na kupotosha watu.Ngoja nipambane kurudisha hii, nikatafute iliyobora zaidi.
Nadhani sasa umenielewa, na ni lazima utakuwa na utimamu wa akili.Ha haaaaaaa haaaa!umesahau kichwa hichohicho kinakaa na nywele miezi miwili bila kutiwa maji,wanaogopa kuharibu nywele za plastic....Najishukuru kukubali kunyoa nywele zangu..
Hakuna za kukodi huko??Nenda Tanganyika Arms wana vitu vya ukweli, mie nilichukua Beretta Pxs Storm 9mm kwa Milion 4.5.
Daah nimekusoma Vyema Sana,,,kweli vyanzo vya matatizo ya afya za akili ni mengi mno.Nadhani sasa umenielewa, na ni lazima utakuwa na utimamu wa akili.
Binadamu akiamka asubuhi anapooga huwa anapata nguvu mpya na akili inatulia, na kuoga maana yake kichwa kipate maji ndio maana kuna shower hata kopo la kuogea haijarishi lakini kichwa kikipata maji asubuhi ni tiba ya mwili hata watumiaji pombe asubuhi tiba ya kwanza ni kuoga, sasa imagine inatokea binadamu kichwa chake hakigusi maji zaidi ya kunawa uso na kuoga kiwiliwili huyu usimtalajie kuwa timamu anaweza kumdharau aliyemnunulia gari na kumthamini aliyemuwekea mafuta ya laki moja kwenye hiyo gari.
Ila na Nyie wabishi kha!Mungu awatunzea
Sina mashakamashaka tangu sekondari🤣
Ila kweli Wambulu, Wanyaturu na Warangi hapana aiseeUnaenda kuoa sijui Mnyiramba, Mnyaturu au Mrangi lazima utakuwa mwehu. Kuna siku nilikuwa na dada wa kirangi Dodoma nikaenda nae sokoni. Kuna mzee mmoja nae ni Mrangi akaniita na kuniambia huyo ndio mkeo nikajibu ndio. Akasema kijana achana na mwanamke wa Kirangi. Kumbuka huyo mzee ni mrangi nae.
Zimeshuka bei na sasahv hata masharti sio complicated sana kama zamaniNenda Tanganyika Arms wana vitu vya ukweli, mie nilichukua Beretta Pxs Storm 9mm kwa Milion 4.5.
Nenda Tanganyika Arms Arusha kamuulizie Mzee Mollel, pale kuna Arsenal kubwa.naomba kuuliza ,pistol inauzwa shngap
Alikuwa mfuatiliaji wa ule wimbo wa Kanda Bongoman..."Eee Mayeboooo...yakuporaaaa.Peeesaaa...pesaaa"...!Daaa kumbe jamaa alimpokonya huyo demu kwa mshikaj wake? Hebu jazia nyama mkuu.
Usije kuulia mtu makusudi hayo mavitu yenu mnayomiliki.Nikuulize wewe unaefurahisha genge, nina Marker4 na Shotgun niliyorithishwa na mzee wangu kihalali kabisa na pia nina Beretta Pxs niliyoinunua kwa pesa yangu pale Tanganyika arms. Na vyote vipo kihalali hadi hati safi ninayo.
Cushites hawaIla kweli Wambulu, Wanyaturu na Warangi hapana aisee
Sisi wote tunatoka kitaani!Umeongea ki kawaida ila hi ipo sana kitaa
Funzo Kwa akina Dada wenye tamaa mpende MTU kutoka Moyoni na siyo utajiri Wala pesa ukifuata pesa yatakukuta Kama hayaHabari za ndani kabisa zinasema:
1. Marehemu kabla ya kuolewa na SAID alikuwa ameolewa na jamaa maeneo ya Kirumba Mwanza kisha wakaachana. Sababu ya kuachana inasemekana ni ex mume wake kutokuwa na pesa
2. Marehemu akaolewa na SAID na inasemekana alifuata pesa kwa SAID
3. Said alimjengea marehemu nyumba tatu na gari 2 plus kumfungulia biashara ya saluni.
4. Baada ya kupata mali marehemu akaanza vituko kwa Said kwa sababu inasemekana hakuwa akimpenda kwa dhati Said na kwamba kwa Said alifuata hela tu, so akawa anafanya vituko ili Said atoe talaka ili marehemu arudiane na ex wake but Said akawa anagoma kutoa talaka licha ya vituko.
5. Siku ya tukio kama mlivyo sikia wengi kulikuwa na : missed call 42, marehemu inasemekana alipotoka out alikuwa na ex husband wake.
CHANZO: AFRICANDADAZ BLOG
Pia soma > Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI
Post yako na mleta uzi mbona zinafanana tu?Mnazusha tu ila ukweli ni kwamba Marehemu Saidi hakupendwa na Marehemu Swalha.
Swalha alipenda pesa zake na saidi alipenda kiki ya kuoa pisi kali. Inshort hakukua na ndoa serious pale
Kama kweli mke ni mnyiramba Said atakuwa amepitia mengi sana.Wanaume wa kanda ya ziwa na misimamo yao VS Wanawake wa Singida na drama zao!
Lazima pangechimbika haya makabila huwezi kuwaweka pamoja kama mke na mume.
Umeolewa tena ama upo single?Wala sikuoa, alikuwa anawajibika kama mume, ila akaja kubadilika kwa kumpata mchepuko.