Wanawake wa singida wana drama gani? Nataka nipose mnyaturu mmoja huko.hahahahahaha
Mama yake nani !? Ana mtetea nani !?Na mama yake anamtetea daaah
Many rate Yao Iko juu sanaHahahaha! Ni kwa wote au individual tu!
[emoji16][emoji16][emoji16]Na wewe mtu humpendi, kwa nini unaingia naye kwenye ndoa halafu baadaye unataka kuishi maisha yako kama vile uko single?
Kwamba alifuata pesaβ¦.
Ni pesa kiasi gani hizo ambazo yeye mwenyewe hakuwa na uwezo wa kuzitengeneza?
Mi naona wote walikutana wajinga wajinga tu.
Nilimsikia mama yake kama ndoa yenyewe ilikuwa na miezi mitano hivi, sasa huyo Saidi amejenga nyumba tatu na kununua gari mbili katika kipindi hicho kifupi?Habari za ndani kabisa zinasema:
1. Marehemu kabla ya kuolewa na SAID alikuwa ameolewa na jamaa maeneo ya Kirumba Mwanza kisha wakaachana. Sababu ya kuachana inasemekana ni ex mume wake kutokuwa na pesa
2. Marehemu akaolewa na SAID na inasemekana alifuata pesa kwa SAID
3. Said alimjengea marehemu nyumba tatu na gari 2 plus kumfungulia biashara ya saluni.
4. Baada ya kupata mali marehemu akaanza vituko kwa Said kwa sababu inasemekana hakuwa akimpenda kwa dhati Said na kwamba kwa Said alifuata hela tu, so akawa anafanya vituko ili Said atoe talaka ili marehemu arudiane na ex wake but Said akawa anagoma kutoa talaka licha ya vituko.
5. Siku ya tukio kama mlivyo sikia wengi kulikuwa na : missed call 42, marehemu inasemekana alipotoka out alikuwa na ex husband wake .
CHANZO: AFRICANDADAZ BLOG
Mwanza kuna BAHARI?... jamaa issues zake baharia; alikuwa na meli zake za uvuvi ziwani huko lazima alikuwa fit upstairs.
Magumu au upumbavu,nyanya zote zimejaa soko unahangaika na moja iliyoanguka chini.Jamii forum FBI.
Said ameacha 'legacy' ya mwanaume kuwa na maamuzi magumu.
Wanaume wa kanda ya ziwa na misimamo yao VS Wanawake wa Singida na drama zao!
Lazima pangechimbika haya makabila huwezi kuwaweka pamoja km mke na mume
Kwaiyo unaisi uyo mwanamke alikua anamwambia uyo said mm sikupend ila kwa sababu unanihonga tu ndio maana nipo na ww ,, mpaka anahoa itakua uyo mwanamke alijifos kupenda ili aongwe vzur je kibinadam unajua ya moyon mwa mtuKama unatumia pesa ili kumpata mwanamke, wewe ni mwanaume mjinga sana.
Sijasema usihonge.
Marehemu Said ni mmojawapo ya hao, ndio maana kafa kipopoma.
Duh! Sasa sijui nighairishe tu, hahahahahahaMany rate Yao Iko juu sana
Enz nafahamiana na ww ulikuwa ukiniomba hela ya baga na pizzzza kulikoni kwa mumeo hukoWatajuana wenyewe huko walipo sie tunaendelea kula wali maharage maisha yanaendelea
Yawezekana walikaa kwenye uchumba kwanza na jamaa akajenga kipindi cha uchumba ili kukoleza ulimbo kwa bibie anase vizuri.Nilimsikia mama yake kama ndoa yenyewe ilikuwa na miezi mitano hivi, sasa huyo Saidi amejenga nyumba tatu na kununua gari mbili katika kipindi hicho kifupi?
Mbona haya mengine ni nyongeza isiyopimika akilini?
Yasikukute.Magumu au upumbavu,nyanya zote zimejaa soko unahangaika na moja iliyoanguka chini.
Labda aliruka stage hakuwahi cheza komborela huyo.
Mapenzi ni SAwa na gari mda wowote linawezapata ajali
Sasa huo utakuwa ni ukichaa kabisa. Pole yake marehemu.Yawezekana walikaa kwenye uchumba kwanza na jamaa akajenga kipindi cha umbuka ili kukoleza ulimbo kwa bibie anase vizuri.
Majibu ya nyanda za juu kusini huwa nchi inasimama kwa muda.Kwamba nyanda za juu Kusini akina Andendemseke Mwasakafyuku wanatakiwa wajibu?