Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Na wewe mtu humpendi, kwa nini unaingia naye kwenye ndoa halafu baadaye unataka kuishi maisha yako kama vile uko single?

Kwamba alifuata pesa….

Ni pesa kiasi gani hizo ambazo yeye mwenyewe hakuwa na uwezo wa kuzitengeneza?

Mi naona wote walikutana wajinga wajinga tu.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Habari za ndani kabisa zinasema:

1. Marehemu kabla ya kuolewa na SAID alikuwa ameolewa na jamaa maeneo ya Kirumba Mwanza kisha wakaachana. Sababu ya kuachana inasemekana ni ex mume wake kutokuwa na pesa

2. Marehemu akaolewa na SAID na inasemekana alifuata pesa kwa SAID

3. Said alimjengea marehemu nyumba tatu na gari 2 plus kumfungulia biashara ya saluni.

4. Baada ya kupata mali marehemu akaanza vituko kwa Said kwa sababu inasemekana hakuwa akimpenda kwa dhati Said na kwamba kwa Said alifuata hela tu, so akawa anafanya vituko ili Said atoe talaka ili marehemu arudiane na ex wake but Said akawa anagoma kutoa talaka licha ya vituko.

5. Siku ya tukio kama mlivyo sikia wengi kulikuwa na : missed call 42, marehemu inasemekana alipotoka out alikuwa na ex husband wake .


CHANZO: AFRICANDADAZ BLOG
Nilimsikia mama yake kama ndoa yenyewe ilikuwa na miezi mitano hivi, sasa huyo Saidi amejenga nyumba tatu na kununua gari mbili katika kipindi hicho kifupi?

Mbona haya mengine ni nyongeza isiyopimika akilini?
 
Nadhani alikua hajui tabia za wanaume wa migodini. Hakujifunza hata kwa Hamza jamani
 
Kama unatumia pesa ili kumpata mwanamke, wewe ni mwanaume mjinga sana.

Sijasema usihonge.

Marehemu Said ni mmojawapo ya hao, ndio maana kafa kipopoma.
Kwaiyo unaisi uyo mwanamke alikua anamwambia uyo said mm sikupend ila kwa sababu unanihonga tu ndio maana nipo na ww ,, mpaka anahoa itakua uyo mwanamke alijifos kupenda ili aongwe vzur je kibinadam unajua ya moyon mwa mtu
 
Nilimsikia mama yake kama ndoa yenyewe ilikuwa na miezi mitano hivi, sasa huyo Saidi amejenga nyumba tatu na kununua gari mbili katika kipindi hicho kifupi?

Mbona haya mengine ni nyongeza isiyopimika akilini?
Yawezekana walikaa kwenye uchumba kwanza na jamaa akajenga kipindi cha uchumba ili kukoleza ulimbo kwa bibie anase vizuri.
 
Back
Top Bottom