Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Kuna demu mmoja pisi kali wa kizenji nlikua naye miaka ya nyuma Zenji kuna siku kaja gheto akaanza kuniletea drama za kunisifia baadae akachomekea mdogo anaumwa kwa hiyo hatokuja atalala naye kwake, machale yaka ncheza kwa zile sifa alizonimwagia, nikaamka mida kama ya 5 usiku nikamnyatia hadi kwake dirishani nikamchungulia nikakuta kavaa night dress na bikini anaangalia bongo star search, akapokea simu ya njemba inakuja inataka ifungiliwe geti izame mi nikabonyea jamaa kaja mpaka mlangoni geti likafunguliwa akazama nikarudi tena dirishani nikamchek jamaa kakaa kitandani anaomba maji aoge dah nikasema huyu kum ..a kumbe ndio mishe zake mapigo ya moyo yalienda mbio nikatamani kuzikunja nondo ni zame ndani.... nikaona nikiondoka bila kumstua kua nimeona kila kitu kesho atakataa nikamwita akaitika nikamwambia nimekuja kumwona mgonjwa akakimbilia getini akaniambia mgonjwa amelala nikamwambia acha ukum..a nimeona kila kuanzia kesho tusitafutane nikasepa..cha ajabu yule mzenji akawa bado analilia anaomba msamaha nikaona sio issue huyu ngoja nimchukulie kama malaya nikaanza kumla tako akazidisha wivu nika wabandua shoga zake wanne lkn wapi haniachi akanipa mln 3.5 ni mnunulie kiwanja ili awe karibu namie hadi leo nikimuhitaji anakuja namfanya matusi anasepa hawa mademu sio kuwa nao serious sana utaua au kujiua bure
Ulikula Tigo mkuu green rajab
 
Kuna demu mmoja pisi kali wa kizenji nlikua naye miaka ya nyuma Zenji kuna siku kaja gheto akaanza kuniletea drama za kunisifia baadae akachomekea mdogo anaumwa kwa hiyo hatokuja atalala naye kwake, machale yaka ncheza kwa zile sifa alizonimwagia, nikaamka mida kama ya 5 usiku nikamnyatia hadi kwake dirishani nikamchungulia nikakuta kavaa night dress na bikini anaangalia bongo star search, akapokea simu ya njemba inakuja inataka ifungiliwe geti izame mi nikabonyea jamaa kaja mpaka mlangoni geti likafunguliwa akazama nikarudi tena dirishani nikamchek jamaa kakaa kitandani anaomba maji aoge dah nikasema huyu kum ..a kumbe ndio mishe zake mapigo ya moyo yalienda mbio nikatamani kuzikunja nondo ni zame ndani.... nikaona nikiondoka bila kumstua kua nimeona kila kitu kesho atakataa nikamwita akaitika nikamwambia nimekuja kumwona mgonjwa akakimbilia getini akaniambia mgonjwa amelala nikamwambia acha ukum..a nimeona kila kuanzia kesho tusitafutane nikasepa..cha ajabu yule mzenji akawa bado analilia anaomba msamaha nikaona sio issue huyu ngoja nimchukulie kama malaya nikaanza kumla tako akazidisha wivu nika wabandua shoga zake wanne lkn wapi haniachi akanipa mln 3.5 ni mnunulie kiwanja ili awe karibu namie hadi leo nikimuhitaji anakuja namfanya matusi anasepa hawa mademu sio kuwa nao serious sana utaua au kujiua bure
Kwa hiyo mzee unajilia tope kwa raha zako
 
Habari za ndani kabisa zinasema:

1. Marehemu kabla ya kuolewa na SAID alikuwa ameolewa na jamaa maeneo ya Kirumba Mwanza kisha wakaachana. Sababu ya kuachana inasemekana ni ex mume wake kutokuwa na pesa

2. Marehemu akaolewa na SAID na inasemekana alifuata pesa kwa SAID

3. Said alimjengea marehemu nyumba tatu na gari 2 plus kumfungulia biashara ya saluni.

4. Baada ya kupata mali marehemu akaanza vituko kwa Said kwa sababu inasemekana hakuwa akimpenda kwa dhati Said na kwamba kwa Said alifuata hela tu, so akawa anafanya vituko ili Said atoe talaka ili marehemu arudiane na ex wake but Said akawa anagoma kutoa talaka licha ya vituko.

5. Siku ya tukio kama mlivyo sikia wengi kulikuwa na : missed call 42, marehemu inasemekana alipotoka out alikuwa na ex husband wake.

CHANZO: AFRICANDADAZ BLOG

Pia soma >
Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Inadaiwa yote uliyoandika ni dhana 'allegations' , na inasemekana dhana zisizo na supportive claims ni maoni hewa 'unappealing to senses'

Chanzo: Mimi
 
Nina rafiki yangu mnyiramba kwanza wao kwa wao kugongeana wake ni kitu cha kawaida kabisa so wala hata kukuunganishia mke wa mtu kwao kawaida sana
Ulichoongea ni kweli Wana utamaduni wa ajabu sana mtu anajua flan ni mke wa mtu na anaenda kumtongoza
 
Kama unatumia pesa ili kumpata mwanamke, wewe ni mwanaume mjinga sana.

Sijasema usihonge.

Marehemu Said ni mmojawapo ya hao, ndio maana kafa kipopoma.
Anaweza kuwa hajatumia pesa ili ampate bali binti kajipeleka ili azivune na baada ya kuvuna anataka akale mazao na mwingine!! Shaba ihusike tu wasifanye watu kama mashamba yao.
 
Hii inafanana na mtumishi mmoja NBC Moshi lkn yeye alinusurika kifo alipigwa risasi na mume wake then mume nae kijipiga mume akafariki.
Kisa mke hakuwa na mapenzi ya dhati kwa mume wake.
Halafu jamaa ndio alishamsomesha .
Ilitokea mwaka upi
 
Wakati mwingine mwanaume anapata mwenye mapenzi ya kweli lakini wanakuja kuwaumiza . Mimi aliyekuwa mume wangu nilimpenda kwa dhati pamoja na kuwa alikuwa ana maisha ya chini. Tukafunga ndoa tukaishi vizuri tu miaka 3. Mwaka wa 4 akadanyika na mchepuko akawa anachelewa kurudi, mara apotee mwezi anakuambia yuko msata kwenye shughuli zake. Mbaya zaidi akadanganywa na kuniibia gari langu akabadilisha kadi ya gari na kwenda kuiuza mimi sina hata habari maana gari alikuwa anatumia yeye. Vituko vikawa vituko. Wala sikutaka ugomvi na yeye na huyo mwanamke, nikawaita familia pande 2 nikawaambia naondoka naenda kuanza maisha mapya. Nyumba naiacha na gari yangu ndio imeshauzwa hivyo wamenunua gari nyingine. Mungu alienipa mali hizi atanipa nyingine. Nikaenda zangu kupanga na kuanzz upya. Baada ya mimi kuondoka alipangisha nyumba akahamia huko na mchepuko. Baada ya miezi 3 wakagombana vibaya na mchepuko sababu hela zimeisha na michongo ya hela nayo imekata. Sasa hivi yupo tu maisha yamempiga . Sikutaka kurudiana naye tena maana niliona atazidi kuniharibia maisha.
Uliolewa na marioo
 
Wakati mwingine mwanaume anapata mwenye mapenzi ya kweli lakini wanakuja kuwaumiza . Mimi aliyekuwa mume wangu nilimpenda kwa dhati pamoja na kuwa alikuwa ana maisha ya chini. Tukafunga ndoa tukaishi vizuri tu miaka 3. Mwaka wa 4 akadanyika na mchepuko akawa anachelewa kurudi, mara apotee mwezi anakuambia yuko msata kwenye shughuli zake. Mbaya zaidi akadanganywa na kuniibia gari langu akabadilisha kadi ya gari na kwenda kuiuza mimi sina hata habari maana gari alikuwa anatumia yeye. Vituko vikawa vituko. Wala sikutaka ugomvi na yeye na huyo mwanamke, nikawaita familia pande 2 nikawaambia naondoka naenda kuanza maisha mapya. Nyumba naiacha na gari yangu ndio imeshauzwa hivyo wamenunua gari nyingine. Mungu alienipa mali hizi atanipa nyingine. Nikaenda zangu kupanga na kuanzz upya. Baada ya mimi kuondoka alipangisha nyumba akahamia huko na mchepuko. Baada ya miezi 3 wakagombana vibaya na mchepuko sababu hela zimeisha na michongo ya hela nayo imekata. Sasa hivi yupo tu maisha yamempiga . Sikutaka kurudiana naye tena maana niliona atazidi kuniharibia maisha.
Huyu sasa ndio super woman👍👍👍
 
Hii inafanana na mtumishi mmoja NBC Moshi lkn yeye alinusurika kifo alipigwa risasi na mume wake then mume nae kijipiga mume akafariki.
Kisa mke hakuwa na mapenzi ya dhati kwa mume wake.
Halafu jamaa ndio alishamsomesha .
Mwanaume aijui unakuwa umepewa nini mpaka unaamua kusomesha mrembo...dah uchawi upo
 
Wanawake tunakazi, unamvumilia mwanaume ukiwa hauna kitu mkipata Maisha mnakuwa wengi, mungu anawaona wanaume.
Wakati hna kitu hapo anakuwa hana options maana wale pisi kali hawezi kuwapata...sasa kashapata hela wale pisi kali wanapatikana kirahisi. So bora mwanamke uolewe na njembe yenye hela provided wewe ni pisi kali na tako lipo 🤣🤣🤣🤣
 
Kama ni kweli huyo bibie alikuwa gold digger.
Kilichompata si kizuri lakini ndo matokeo ya huku nataka,....... kula nataka,........ katikati hapakaliki.

Na Je, unasemaje kuhusu Mwamba mwenzetu? Na yeye alichokifanya Kwa marehem na kujifanyia yeye ni stahiki yake?
 
Hili tukio lina nikumbusha tukio kama hiki lilitokea Tnga miaka ya 1990's .. mitaa ya chumbageni pale flats

Mzee mmoja alimpiga shaba mke wake siku ikiwa imepambazukaa
 
Nimegundua kuwa kuna mengi yamejificha katika tukio hili. Hakuna mwenye taarifa za uhakika zaidi ya wahusika wenyewe na hawapo tena.

Yamepita, tumshukuru Mungu kwa neema ya UHAI huu.
 
Hiki kisa kimetoa darasa na mazingatio kwa walio wengi, ila hatupaswi kuhukumu kabla ya kujiridhisha.
 
Tatizo la watu wenye pesa wanafikiri ukiwa na upesa unaweza kununua kila kitu infact
Ukiwa na pesa unaweza kununua mke lakini sio upendo
unaweza kununua kitanda lakini sio usingizi
unaweza ukarithi kila kitu hata kuhamisha mlima lakini huwezi kuridhi ufalme wa mbinguni aupepo
Bwana madevu infact alikuwa mshamba wa penzi alikuwa hapendwi bali pesa yake.
ila RIP wote mungu atawahukumu mwenyewe huko
 
Back
Top Bottom