Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
ametoa copmarison na siyo kutukana, .Mkuu kwa akili yako haya sio matusi?
Hivi haya maneno ukimuambia mtu unatarajia atafurahia au atachukia?
View attachment 1090137
Wapi nimemgusa beni saa nane na hao uliowataja?...mbona huwi muelewa?
Tumzungumzie huyo wa matusi,je kutukana ni sawa kwa tamaduni zeru tena unamtukana raisi wa Nchi?
Ok,huenda hujui unachoandika na kukiteteaWapi nimesema kwamba anayetukana adhabu yake ni kutekwa?
Mkuu kwa akili yako haya sio matusi?
Hivi haya maneno ukimuambia mtu unatarajia atafurahia au atachukia?
View attachment 1090137
kama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua
hayo ni matusi tena ya nguoni yaani bhuyu kijana hafai kuhurumiwa kabisaInategemea Na saikolojia yako,kama ni kweli umetenda lzm ikuumize,kama unadili Na big issues haiwezi kukuumiza.Mfano trump ana dili Na big issues vitu vidogo havimuumizi ni sawa Na mtoto Mchanga kamkojolea hawezi mtupa.
Hatakufa? Kuna watu kumbe wataishi mileleKama Kweli Kuna Mungu Mbinguni ninayemwamiji, Mungu wa Eliya basi Mdude Ataishi hatakufa ktk jina la Yesu.
siyo ukatili kaka watu wajifunze kuwa na staha ya maneno umesoma alichokiandika lakini?Huu ukatili ni laana kwa wanaoutenda.
Mtumishi umenena vyema, nakumbuka hili neno, na hapa ni miaka minne ya nzige bado miaka 6 mpaka watanzania tumrudie Mungu.
nabii SADRU yule mhindi alikuja Dar na kutabiri haya, ingia you tube utaona pia.
nakwambia ardhi imeloa damu
Hatakufa? Kuna watu kumbe wataishi milele
Duh TB joshua ndio nani?Hata TB Joshua alipokuja alitembea peku kinabii ndo haya.Inatakiwa watz watubu kwani Mungu ametuacha tumuombe msamaha ili atuondelee wingu jeusi.Kafala za damu za watu ni chukizo Kwa Mungu hakuna chochote kitakachofanikiwa jiulizeni kwann kila kitu kinabuma.
Wakuingia barabarani ni nani? Yaani kweli watu waandamane kisa mdude????? Huna akili, labda huko bavichaahili pekee linatosha kuingiza watu barabaran sitegemei kusikia kiongozi wa upinzani akilalamika bungeni au kwenye mitandao. mnataka awafanyie nn ili mjue hana nia nzur na upinzani? anawashinda hata boby wine mtt mdogo yule?
hayo ni matusi tena ya nguoni yaani bhuyu kijana hafai kuhurumiwa kabisa
Duh TB joshua ndio nani?
Andamana kamanda, tunakutegemea sana!Ukimya wa watanzania ndio chanzo cha hawa wuuni wa awamu ya tano kutudharau.
Ni kweli hatuna bunduki wala bomu la.kupambana nao, lakini kama.kweli ni hinadmu.mwemye dhamira njema na uchungu wa uhai wa hinadamu mwemzako basi utakemea japo kwa maneno, kama huwezi kwa vitendo.
huwezi kupimiwa kikombe kibaya kama unafanya mazuri hao wanakula walichokipandaKama ni matusi Sheria usemaje,haya mambo yanabackfire lkn, kwani kikombe mlichowapimia wwenzenu ndicho mtakachopimiwa.
Sasa si uandamane?? Kazi kukaa tu nyuma ya keyboard na kubwekaMaandamamano ya kufa mtu kama Algeria mambo ya kutekana yaishe! Mimi nipo tayari kwa maandamano!
atachakaaAndamana kamanda, tunakutegemea sana!
Sijasema kama aliyeteka ni kiongozi wa Nchi kwa sababu sina ushahidi huo.
Lakini kwa mtu mwenye akili timamu anajua kwamba kutukana ni jambo ambalo hakuna ambae amgependa kufanyiwa.
Raisi ni mtu mkubwa sana sio wa kumshusha hadhi namna hiyo,hata kama ikatokea ana mapungufu lakini sio sawa kumtukana matusi ya nguoni.
Kama raisi hatakiwi kuna na roho nyepsei hivyo kwa kuwa ataumiza wengi sawa lakini je matusi yanakubalika na ni katika tamaduni zetu watanzania kutukana mamna ile tena unamtukana mkuu wa nchi?