Tetesi: Inadaiwa uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane unaendelea

Tetesi: Inadaiwa uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane unaendelea

Kuna kipindi Mwigulu alikua waziri wa Mambo ya ndani. Ikapatikana miili ya watu mto Ruvu maeneo ya bagamoyo. Waziri yule bila uchunguzi Wala nini alituambia miili Ile Ni wahamiaji haramu. Labda Kuna kitu anakijua kuhusu miili iliyokua inaokotwa in those dark days.
Na huyu Mwigulu Nchemba ndiyo tatizo kubwa kwa maneno na matendo yake hata kupigwa risasi kwa Tundu Lissu Mwigulu Nchemba anahusika 96%.
 
What if the assailants waliompoteza bensaa8 ndio hiyohiyo hit squad iliyompiga chuma lisu?.. Kuna watu wanaujua ukweli kuhusiana na hii tukio. Na wapo kimya labda kulinda status za high profile figures Walioko in power Sasa hivi . Ulianza kuchora pattern kuunganisha matukio kadhaa kama ifuatavyo; sabaya chronicles+bashite et Al +kupotezwa kwa Ben+lisu murder attempt +mwangosi+Dr ulimboka et Al.... na kashfa ya ugaidi dhidi ya mbowe huenda one day in our lifetime tutajua ukweli au la kizazi chetu kitakuja kuujua ukweli...kwa wataalamu wa historia nani angewahi dhania Richard Nixon na kashfa yake ya Watergate scandal ingetolea madudu mengi na machafu jinsi ya watawala wanatumia vyombo vya usalama kwa maslahi Yao binafsi na vilevile kuvitumia kulipiza visasi vyao binafsi dhidi ya maadui zao pasipo kufuata taratibu za kisheria in the name of MASLAHI YA TAIFA KIUSALAMA? . inavyodaiwa kwamba Ben alihoji ithibati ya high profile figure , sidhani kama alistahili alichokipata kama adhabu. What if angeonywa hata kwa kum exile au hata kumpa kifungo hata Cha muda ndani. Kwa hiyo it means lisu , Ben,azore walikuwa wanahatarisha usalama wa nchi kivip?[emoji848].
 
Inasemekana hakudhamiria.....
Jiwe alikuwa na hasira sana siku hiyo.... Sasa akaenda kwenye vyumba akiwa anatafakari.. Sijui alikunywa nn akatoka huko macho mekundu...

Sasa akachomoa mguu wa kuku huku anamfokea dogo.. sasa kumbe kitu kipo chamber.. Kikafyatuka...

Ndio maana tunashauriwa ukiwa na hasira sana usiguse machine... Unaweza kumtoa mtu ubongo bila kutarajia
Toka ishu ya Ben Saanane , Jiwe akaanza kukosa kujiamini. Akawa kama kachanganyikiwa hivi. Mwishowe akaishia kupiga kelele kama kichaa "Nileteeeeeni Gwajimaaaaa".

Uuaji siyo kitu kidogo, lazima uchizike!
 
What if the assailants waliompoteza bensaa8 ndio hiyohiyo hit squad iliyompiga chuma lisu?.. Kuna watu wanaujua ukweli kuhusiana na hii tukio. Na wapo kimya labda kulinda status za high profile figures Walioko in power Sasa hivi . Ulianza kuchora pattern kuunganisha matukio kadhaa kama ifuatavyo; sabaya chronicles+bashite et Al +kupotezwa kwa Ben+lisu murder attempt +mwangosi+Dr ulimboka et Al.... na kashfa ya ugaidi dhidi ya mbowe huenda one day in our lifetime tutajua ukweli au la kizazi chetu kitakuja kuujua ukweli...kwa wataalamu wa historia nani angewahi dhania Richard Nixon na kashfa yake ya Watergate scandal ingetolea madudu mengi na machafu jinsi ya watawala wanatumia vyombo vya usalama kwa maslahi Yao binafsi na vilevile kuvitumia kulipiza visasi vyao binafsi dhidi ya maadui zao pasipo kufuata taratibu za kisheria in the name of MASLAHI YA TAIFA KIUSALAMA? . inavyodaiwa kwamba Ben alihoji ithibati ya high profile figure , sidhani kama alistahili alichokipata kama adhabu. What if angeonywa hata kwa kum exile au hata kumpa kifungo hata Cha muda ndani. Kwa hiyo it means lisu , Ben,azore walikuwa wanahatarisha usalama wa nchi kivip?[emoji848].
Ben saa 8 alitumika,na alipata alichostahili,
 
Sasa kama mwenyewe unasema ben saanane alipotea kwa baraka za jpm unataka uchunguzi wa nini?
Binafsi nasema ben saanane lolote lililomtokea alijitakia mwenyewe.
Kwanza alijipa kazi au kupewa kazi cdm ya kumtukana magufuli, kumchafua kwa kutumia maneno yasiyofaa. Awamu ya 5 wangetaka kumshitaki wangeweza maana alikua anavunja sheria kumkejeji na kumdhalilisha rais wa jamhuri. Alijikita kueleza kadamnasi kwamba jpm aligushi cheti chake cha Phd huku bila kuonyesha ushahidi wowote. Licha ya kuonywa kuhusu uongo wake dhidi ya binafsi ya rais alikaza shingo kujitia ushujaa.
Huenda dola wanajua nani kampoteza ben ila wananyamaza kumlinda mtu huko upinzani maana akitajwa nyie mnaotaka uchunguzi hamtoamini.
Umeandika upuuzi
 
Toka ishu ya Ben Saanane , Jiwe akaanza kukosa kujiamini. Akawa kama kachanganyikiwa hivi. Mwishowe akaishia kupiga kelele kama kichaa "Nileteeeeeni Gwajimaaaaa".

Uaji siyo kitu kidogo, lazima uchizike!
Ile clip niliicheki ,nikaicheki na kuicheki sana alipokuwa anatamka hayo maneno "nileteeni gwajima...."Kuna vitu vilinitafakarisha sana... maana Hadi msaidizi wake wa pembeni alibabaika Fulani hivi wakati hayo maneno yakitamkwa[emoji848] . Icheki Tena vizuri utakubaliana nami
 
Back
Top Bottom