Tetesi: Inadaiwa uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane unaendelea

Tetesi: Inadaiwa uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane unaendelea

Kuna mnyetishaji anadai kwamba Jiwe aliamuru kijana Ben Sa8 akamatwe apelekwe jumba jeupe. Ile kufika tu huyu nduli jiwe alichomoa bastola na kumtoa roho Ben Sa8. Jiwe alimuua Ben kwa mkono wake mwenyewe.

Kama huo uchunguzi utatenda haki basi haya tutayasikia.

Tukisema jiwe alikuwa nduli muuaji muwe mnaelewa.
Inasemekana hakudhamiria.....
Jiwe alikuwa na hasira sana siku hiyo.... Sasa akaenda kwenye vyumba akiwa anatafakari.. Sijui alikunywa nn akatoka huko macho mekundu...

Sasa akachomoa mguu wa kuku huku anamfokea dogo.. sasa kumbe kitu kipo chamber.. Kikafyatuka...

Ndio maana tunashauriwa ukiwa na hasira sana usiguse machine... Unaweza kumtoa mtu ubongo bila kutarajia
 
kuna kijana alikamatwa Muhimbili na genge la yule muuaji Magu ( alijitengenezea kundi la wauaji nje ya mfumo) bahati baada ya mateso makubwa huko kwenye safe house zao nadhani mikoa ya Mtwara wakaona walikosea hakuwa yeye waliye mkusudia wakaja kumtupa usiku maeneo ya Mbagala..Yule dogo akikusimulia ukatili waliokuwa wakifanyiwa huwezi kabisa kumsifia yule Mzee.
Alituambia alimuoana jamaa flani ambae kwao alipotea alimkuta kule kachakaa kwa kichapo na kweli baada ya kama wiki mbili mwili wa jamaa ukaokotwa COCO BEACH kwenye gunia.
Yule kijana mpaka leo yupo maeneo ya Muhimbili anawafanyia wagonjwa maombi na Dua.
Kile kifo ilikuwa ni nguvu ya maombi na vilio vya wahanga ndio maana alikufa kwa shida hadi kujinyea
 
Mabaya yametendwa mengi sana, lakini hili la mwenye dhamana mwenyewe, anayeheshimika kama kiongozi wa watu na mlinzi wa wote kutoa machine na kummwagia njugu raia wake? Hili ni zaidi ya wote.
Sidhani kama tokea Julius hadi Jakaya kama tulifikia huko
Kama ni kweli Hiyo ilikuwa ni mbaya sana. !! Je katiba inasemaje kuhusu hilo ?? Maana ilikuwa palepale akamatwe !! Au ??!
 
Mshauri mkuu wa rais ni makamu wake. Hata leo Mpango hawezi kukwepa anayoyafanya Samia kwa kuteua watu wa dinni moja. Rejea mawaziri watano toka mkoa mmoja wa Tanga huku mawaziri wawili toka mikoa ya Mwanza Mara Simiyu Shinyanga na Kagera.

Vivyo hivyo aliyekuwa makamu kipindi cha JPM ashughulikiwe.

Sijui alikuwa nani na ni nani sasa hivi
Miradi inayozinduliwa sasa hivi, iliyoanzishwa na huyo mwendazake hamtaki makamu asifiwe..[emoji28][emoji28]

Kwenye ukatili wa Magu mnataka ashughulikiwe aliyekua makamu [emoji23][emoji23]
 
Sisi jpm tulimpa go ya hata kuua kwa sababu alikuwa mzalendo na mzalendo ana ua wahuni tu wa taifa ...sasa mtu kama msoga angeuliwa wote tunge furahi sana ....siyo kila mtu ana stailik kuishi.
Nlishawahi kusema sehemu kwamba, Wafuasi wa Magufuli mlipata raisi ambae ni muwakilishi wa roho zenu za kikatili zilivyo, Kupitia yule mzee nmefahamu tunaishi na watu wengi wenye roho za kikatili sana, wasiojali utu hata kidogo.
Mtu akihoji auwawe, akipinga auwawe, Akitoa malalamiko auwawe,

Kwenu mauaji, umwagaji damu ni sawa.
 
Nlishawahi kusema sehemu kwamba, Wafuasi wa Magufuli mlipata raisi ambae ni muwakilishi wa roho zenu za kikatili zilivyo, Kupitia yule mzee nmefahamu tunaishi na watu wengi wenye roho za kikatili sana, wasiojali utu hata kidogo.
Mtu akihoji auwawe, akipinga auwawe, Akitoa malalamiko auwawe,

Kwenu mauaji, umwagaji damu ni sawa.
Haya tumekusikia wewe mtakatifu muuza ngada wa msoga ...maana kwenu kuua vijana kwa madawa ya kulevya ni wema
 
Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo ambayo yalitokea enzi za utawala wa awamu ya tano na hakuna aliyethubutu kuanzisha uchunguzi juu ya hilo kutokana na maelekezo maalum.

Sasa nawataarifu kuwa uchunguzi juu ya kupotea kwa kijana huyo unaendelea na ni moja ya ajenda muhimu zilizojadiliwa hapo kabla. Hivi karibuni jambo hilo litawekwa wazi.

Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo yanayofanya viongozi wastaafu wa ngazi za juu kukwepa kabisa kuuzungumzia na kuujadili utawala wa hayati John Magufuli. Imefahamika kuwa yapo mambo kadhaa yasiyo ya utu yalifanyika huku yakiwa na baraka za hayati John Magufuli tena kwa maelekezo maalum.

Wekeni masikio wazi siku chache zijazo mtasikia la mgambo.
Sasa kama unajua kila kitu,na waliohusika,kwa nn unasema alipotea?
 
Back
Top Bottom