WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Na huyu Mwigulu Nchemba ndiyo tatizo kubwa kwa maneno na matendo yake hata kupigwa risasi kwa Tundu Lissu Mwigulu Nchemba anahusika 96%.Kuna kipindi Mwigulu alikua waziri wa Mambo ya ndani. Ikapatikana miili ya watu mto Ruvu maeneo ya bagamoyo. Waziri yule bila uchunguzi Wala nini alituambia miili Ile Ni wahamiaji haramu. Labda Kuna kitu anakijua kuhusu miili iliyokua inaokotwa in those dark days.
Zina ukweli kabisa ameniambia mtu ambaye yupo karibu sana na hayo majengo mana ni ndugu wa.....Duh kumbe hizi tetesi zina ukweli?
Damu ya mtu habari ingine. Hata MTU aue akidhani yuko peke yake, lazima Kuna ushahidi ataacha. Sembuse huyu ambaye wazee wa Kolominchi walishuhudia.Zina ukweli kabisa ameniambia mtu ambaye yupo karibu sana na hayo majengo mana ni ndugu wa.....
Hakika mkuuDamu ya mtu habari ingine. Hata MTU aue akidhani yuko peke yake, lazima Kuna ushahidi ataacha. Sembuse huyu ambaye wazee wa Kolominchi walishuhudia.
Mwingine ndiye yule aliyezikwa Rondo?Shahidi wa kwanza alishazikwa chato, yupo anaoza sahivi.
Bado haikupi haki ya sisi kukuamini. Bado ni hearsays tu za vijiweniZina ukweli kabisa ameniambia mtu ambaye yupo karibu sana na hayo majengo mana ni ndugu wa.....
Toka ishu ya Ben Saanane , Jiwe akaanza kukosa kujiamini. Akawa kama kachanganyikiwa hivi. Mwishowe akaishia kupiga kelele kama kichaa "Nileteeeeeni Gwajimaaaaa".Inasemekana hakudhamiria.....
Jiwe alikuwa na hasira sana siku hiyo.... Sasa akaenda kwenye vyumba akiwa anatafakari.. Sijui alikunywa nn akatoka huko macho mekundu...
Sasa akachomoa mguu wa kuku huku anamfokea dogo.. sasa kumbe kitu kipo chamber.. Kikafyatuka...
Ndio maana tunashauriwa ukiwa na hasira sana usiguse machine... Unaweza kumtoa mtu ubongo bila kutarajia
Ben saa 8 alitumika,na alipata alichostahili,What if the assailants waliompoteza bensaa8 ndio hiyohiyo hit squad iliyompiga chuma lisu?.. Kuna watu wanaujua ukweli kuhusiana na hii tukio. Na wapo kimya labda kulinda status za high profile figures Walioko in power Sasa hivi . Ulianza kuchora pattern kuunganisha matukio kadhaa kama ifuatavyo; sabaya chronicles+bashite et Al +kupotezwa kwa Ben+lisu murder attempt +mwangosi+Dr ulimboka et Al.... na kashfa ya ugaidi dhidi ya mbowe huenda one day in our lifetime tutajua ukweli au la kizazi chetu kitakuja kuujua ukweli...kwa wataalamu wa historia nani angewahi dhania Richard Nixon na kashfa yake ya Watergate scandal ingetolea madudu mengi na machafu jinsi ya watawala wanatumia vyombo vya usalama kwa maslahi Yao binafsi na vilevile kuvitumia kulipiza visasi vyao binafsi dhidi ya maadui zao pasipo kufuata taratibu za kisheria in the name of MASLAHI YA TAIFA KIUSALAMA? . inavyodaiwa kwamba Ben alihoji ithibati ya high profile figure , sidhani kama alistahili alichokipata kama adhabu. What if angeonywa hata kwa kum exile au hata kumpa kifungo hata Cha muda ndani. Kwa hiyo it means lisu , Ben,azore walikuwa wanahatarisha usalama wa nchi kivip?[emoji848].
Kuhoji imekuwa dhambi!!??Mambo mengine ni ya kujitakia, sasa yeye alikuwa anahiji PhD ya bwana mkubwa ili iweje?
Umeandika upuuziSasa kama mwenyewe unasema ben saanane alipotea kwa baraka za jpm unataka uchunguzi wa nini?
Binafsi nasema ben saanane lolote lililomtokea alijitakia mwenyewe.
Kwanza alijipa kazi au kupewa kazi cdm ya kumtukana magufuli, kumchafua kwa kutumia maneno yasiyofaa. Awamu ya 5 wangetaka kumshitaki wangeweza maana alikua anavunja sheria kumkejeji na kumdhalilisha rais wa jamhuri. Alijikita kueleza kadamnasi kwamba jpm aligushi cheti chake cha Phd huku bila kuonyesha ushahidi wowote. Licha ya kuonywa kuhusu uongo wake dhidi ya binafsi ya rais alikaza shingo kujitia ushujaa.
Huenda dola wanajua nani kampoteza ben ila wananyamaza kumlinda mtu huko upinzani maana akitajwa nyie mnaotaka uchunguzi hamtoamini.
Channel Gani tafadhali..kipindi cha the last door
Ile clip niliicheki ,nikaicheki na kuicheki sana alipokuwa anatamka hayo maneno "nileteeni gwajima...."Kuna vitu vilinitafakarisha sana... maana Hadi msaidizi wake wa pembeni alibabaika Fulani hivi wakati hayo maneno yakitamkwa[emoji848] . Icheki Tena vizuri utakubaliana namiToka ishu ya Ben Saanane , Jiwe akaanza kukosa kujiamini. Akawa kama kachanganyikiwa hivi. Mwishowe akaishia kupiga kelele kama kichaa "Nileteeeeeni Gwajimaaaaa".
Uaji siyo kitu kidogo, lazima uchizike!
Alikosa adabu kabisa. Huwezi kumdhalilisha mtu mwenye uwezo wa kukuzaa, tena Rais wa nchi kiasi kile. Lugha ilikuwa mbovu mno na ya dharau na kejeli. Hakutakiwa kuvumiliwa. Lazima adabu iwepo, Ben hakuwa na rika sawa na Magufuli mpaka amtusi kiasi kile.Kifo cha Ben saanane ni HALALI.
Hakika.Ben saa 8 alitumika,na alipata alichostahili,
Ukweli ni kwamba Jiwe ameacha machungu mengi kwa familia nyingi.Ulisikiliza uchunguzi wa Zitto Kabwe kuhusu Ben Saanane?
Hapa akizungumzia Kupotea kwa Simon Kanguye.
158 DSTV kila jumapili saa mbili hadi 3. Kilipoanza walianza na story ya yule Anerisa aliyekuwa mke wa Benpol ile issue kwamba dada yake aliuawa na mumewe halafu akastage crime scene. So, jamaa alikuwa anapitia ushahidi na kuwahoji familia na mhusika na ushahidi wa dr na polisi.Channel Gani tafadhali..