Tetesi: Inadaiwa uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane unaendelea

Hii yaweza kuwa uchunguzi wa kupakana matope. Ila mmoja au baadhi ya watuhumiwa wanapogeuka kuwa marehemu, kesi inakosa nguvu, kwani upande wa pili hautasikika!
 
Ulisikiliza uchunguzi wa Zitto Kabwe kuhusu Ben Saanane?


Hapa akizungumzia Kupotea kwa Simon Kanguye.

Ukweli ni kwamba Jiwe ameacha machungu mengi kwa familia nyingi.
Inasikitisha sana,Magu alikuwa katili aisee na wafuasi wake ni hatari zaidi.
 
Uchunguzi uendelee na wanaohusika wapate adhabu kali haijalishi bado wapo hai au wamekufa, wapewe adhabu kali!
 
Kwa nini hawakumshtaki mahakamani ambapo angetakiwa kutoa ushahidi na hukumu stahiki kutolewa? Wewe unaona uamuzi binafsi wa Rais kuua mtu in cold blood ndio hatua sahihi?
 
Acha upumbavu nyinyi wafuasi wa jiwe mnapo shinda humu mnamtukana na kuwadhihaki mama na Kikwete mara mafisadi na wauza unga mbona hajawatafuta na kuwauwa au nyinyi mna kibali maalumu cha kuwadharirisha wengine kutoka kwa mungu?

Au unadhani anashindwa kutumia mamlaka yake kulifyeka hilo kundi lenu la sukuma gang linalo shinda mitandaoni likimtukana na kumdhihaki?
 
Loh![emoji29]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…