Vita ya chatu na king Cobra wote wanakufa.Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo ambayo yalitokea enzi za utawala wa awamu ya tano na hakuna aliyethubutu kuanzisha uchunguzi juu ya hilo kutokana na maelekezo maalum.
Vita ya nungunungu na chui wote wana danji. Sasa nimemaliza kuandika.
Mwenye masikio asikie mwenye pamba atie pamba. Nchi ngumu hii.