Tetesi: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally anusurika na rungu la TFF

Tetesi: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally anusurika na rungu la TFF

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Kama kweli adhabu ndio hizi una mtazamo gani?

Kuna kitu kitapungua kwenye Soka la Bongo?

IMG_3370.jpeg

Ikumbukwe, Mameneja hao wa Habari na Mawasiliano wa vilabu vya Simba Sc na Yanga Sc, Ahmed Ally na Ally Kamwe wote waliitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kwa tuhuma za kutenda makosa ya kimaadili.

Machi 3, 2025 Wawili hao waliripoti kwenye ofisi za TFF zilizopo Karume, Dar es Salaam kwaajili ya kusikiliza kusomewa makosa yao na hukumu.

Haya yanajiri zikiwa zimesalia siku chache tu kabla ya wawili hao kukumbwa na joto la Derby ya Kariakoo, pale wenyeji, Yanga Sc watakapochuana na Simba Sc katika dimba la Benjamin Mkapa siku ya Jumamosi, Machi 8, 2025.

 
Wakuu

Kama kweli adhabu ndio hizi una mtazamo gani?

Kuna kitu kitapungua kwenye Soka la Bongo?

View attachment 3260357
Mameneja hao wa Habari na Mawasiliano wa vilabu vya Simba Sc na Yanga Sc, Ahmed Ally na Ally Kamwe wote waliitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kwa tuhuma za kutenda makosa ya kimaadili.

Machi 3, 2025 Wawili hao waliripoti kwenye ofisi za TFF zilizopo Karume, Dar es Salaam kwaajili ya kusikiliza kusomewa makosa yao na hukumu.

Haya yanajiri zikiwa zimesalia siku chache tu kabla ya wawili hao kukumbwa na joto la Derby ya Kariakoo, pale wenyeji, Yanga Sc watakapochuana na Simba Sc katika dimba la Benjamin Mkapa siku ya Jumamosi, Machi 8, 2025.

Ubwege ubwege
 
Sijui kwanini Mpira wa tanzania wasemaji wanakuwa na nguvu kuwashinda hata makocha..

Huwa nashangaa sana maana hii ni tofauti sana.

Ukiniuliza mm msemaji wa Man U ni nani hata sijui, au msemaji wa Liverpool hata simjui. Ila hapa bongo unaweza kiwa humjui kocha ila unamjua msemaji
 
Sijui kwanini Mpira wa tanzania wasemaji wanakuwa na nguvu kuwashinda hata makocha..

Huwa nashangaa sana maana hii ni tofauti sana.

Ukiniuliza mm msemaji wa Man U ni nani hata sijui, au msemaji wa Liverpool hata simjui. Ila hapa bongo unaweza kiwa humjui kocha ila unamjua msemaji
Kila sehemu na utamaduni wake
 
Ilitakiwa afungiwe maisha huyo kijana,adhabu haitoshi nitakata rufaa Tff
 
Back
Top Bottom