joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Okay kwani Kolo FC kwenye NBC premier league wanashika nafasi ya ngapi na uwanja wao wa nyumbani ni upi?TFF wanajua Kolo ni nani, Utopolo, Nyuki wa Tabora, Gongo wazi,Mbumbumbu,Lambalamba..
Mahakamani unaweza mtukana John na ukaachiwa kwasababu hati ya mashtaka imeandikwa John Magufuli.
TFF hawafanyi kazi hivyo.
Mpira bila utani hauna maana na sizani hata hili jukwaa la Sports kama lingekuwepo, wanachofanya ni kujikaanga wenyewe kama nguruwe.