Tetesi: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally anusurika na rungu la TFF

Tetesi: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally anusurika na rungu la TFF

Mtaa mbona mtaani kwetu ipo timu Kolo FC halafu tokea lini timu za mtaani zikawa na usajili? Huku mtaani timu asubuhi inaweza itwa mbinde FC jioni inaitwa Kolo FC.

Mamlaka zote hazideal na majina ya utani wasiyo ya sajili, bali wanadeal majina waliyo ya sajili.
Nakwambiaje ukiacha kudhani unaongea na watoto wadogo utaacha pia kutoa utetezi wa namna hiyo. Utetezi wa namna hiyo unautoa pale unapodhani unadili na watu wasiostahili heshima.
 
Kama Kamwe amejitetea hivi, si maajabu kashindwa kesi.
Uwezi jua unaweza kuta kulijaa wanazi kuliko wanasheria, mpira wetu sometimes unamambo mengi.

Huwezi kutumia majina ya utani ambayo hayaja sajiliwa kufanya maamuzi.
 
Nakwambiaje ukiacha kudhani unaongea na watoto wadogo utaacha pia kutoa utetezi wa namna hiyo. Utetezi wa namna hiyo unautoa pale unapodhani unadili na watu wasiostahili heshima.
Huo ndio ukweli wenyewe, hamna club ya Kolo FC iliyo sajiliwa na TFF.

Kama unaijua club ya Kolo FC inayo cheza ligi ya NBC nitajie je kwenye msimamo inashika nafasi ya ngapi.
 
Uwezi jua unaweza kuta kulijaa wanazi kuliko wanasheria, mpira wetu sometimes unamambo mengi.

Huwezi kutumia majina ya utani ambayo hayaja sajiliwa kufanya maamuzi.
Na wewe sema mama hawezi kuongoza halafu jazia kwa upuuzi mwingine wakikudaka kajitete kwamba ulikuwa unamuongelea mama ntilie wa mtaani kwako maana mama wapo wengi.
 
Huo ndio ukweli wenyewe, hamna club ya Kolo FC iliyo sajiliwa na TFF.

Kama unaijua club ya Kolo FC inayo cheza ligi ya NBC nitajie je kwenye msimamo inashika nafasi ya ngapi.
Mbona unatumia nguvu kubwa kujidhalilisha. Kama wewe ndiyo mwanasheria wa Ali Kamwe, anastahili kutokulipa maana umeonyesha ni kilaza wa kutupwa.
 
Na wewe sema mama hawezi kuongoza halafu jazia kwa upuuzi mwingine wakikudaka kajitete kwamba ulikuwa unamuongelea mama ntilie wa mtaani kwako maana mama wapo wengi.
Mpira hauna maana kama utani haupo, hapa tupo humu sababu ya utani bila hiyo hili jukwaa lisingekuwepo. Ila kutoa maamuzi based on majina yasiyo sajiliwa na TFF,huo ni ujinga ni sawa na TFF kuingilia utani. Halafu hayo majina yenyewe hayaja sajiliwa TFF na kila siku yanaibuka mapya.
 
Mbona unatumia nguvu kubwa kujidhalilisha. Kama wewe ndiyo mwanasheria wa Ali Kamwe, anastahili kutokulipa maana umeonyesha ni kilaza wa kutupwa.
Wewe mwenyewe hujuoni kama unatumia nguvu?Au ndio nyani haoni lake... labda wewe ndiye kilaza unajizungumzia wewe.
 
Tunachoelewa Fadru na bench lake la ufundi hawana muda mchafu na hizi porojo.
 
Mpira hauna maana kama utani haupo, hapa tupo humu sababu ya utani bila hiyo hili jukwaa lisingekuwepo. Ila kutoa maamuzi based on majina yasiyo sajiliwa na TFF,huo ni ujinga ni sawa na TFF kuingilia utani. Halafu hayo majina yenyewe hayaja sajiliwa TFF na kila siku yanaibuka mapya.

Wewe mwenyewe hujuoni kama unatumia nguvu?Au ndio nyani haoni lake... labda wewe ndiye kilaza unajizungumzia wewe.
Mtu mzima uliyepewa majukumu mazito unaenda kuchafua watu na mamlaka halafu utetezi wako ni kuwa ulikuwa unatania. Taasisi yako inakulipa ili ukatanie mamlaka zingine? Madhara ya utani wako anailipa nani na nani atawasafisha hao uliowachafua?

Halafu chagua moja, ni utani au tunaongelea timu ya Kolo ya mtaani. Mbona unatuchanganya?
 
Mtu mzima uliyepewa majukumu mazito unaenda kuchafua watu na mamlaka halafu utetezi wako ni kuwa ulikuwa unatania. Taasisi yako inakulipa ili ukatanie mamlaka zingine? Madhara ya utani wako anailipa nani na nani atawasafisha hao uliowachafua?

Halafu chagua moja, ni utani au tunaongelea timu ya Kolo ya mtaani. Mbona unatuchanganya?
Nani kachafuliwa.

Kama kuna documents ya Kolo FC imesajiliwa sawa kama hamna ni uzushi kama ulivyo uzushi mwengine kwani Kolo FC haishiriki ligi kuu na haija sajiliwa na TFF.
 
Wadau wa Yanga zipuuzeni hizo tetesi. Ni uzushi tu wa watu. Hajafungiwa
 
Nani kachafuliwa.

Kama kuna documents ya Kolo FC imesajiliwa sawa kama hamna ni uzushi kama ulivyo uzushi mwengine kwani Kolo FC haishiriki ligi kuu na haija sajiliwa na TFF.
Sasa huo utani unaouongelea unahusiana vipi na hiyo timu ya mtaani kwenu na tuhuma nzito zilizotolewa? Embu tuelimishe vizuri ili twende sawa. Tupe historia kidogo ya tuhuma hizi na hiyo timu ya mtaani kwako.
 
Sasa huo utani unaouongelea unahusiana vipi na hiyo timu ya mtaani kwenu na tuhuma nzito zilizotolewa? Embu tuelimishe vizuri ili twende sawa. Tupe historia kidogo ya tuhuma hizi na hiyo timu ya mtaani kwako.
Nikuelimishe vipi wakati Kolo FC ni timu ya mtaani ambayo haishiriki ligi kuu na haijasajiliwa.

Kwa hiyo unataka kuijua timu ya Kolo FC ya mtaani.Hii timu timu ipo mtaani inashiriki ligi ya mbuzi ila inabebwa na marefa, una lingine? vip hapo umeona kuna mamlaka imetajwa,kwenye hayo malalamiko zidi ya Kolo FC.
 
Nikuelimishe vipi wakati Kolo FC ni timu ya mtaani ambayo haishiriki ligi kuu na haijasajiliwa.

Kwa hiyo unataka kuijua timu ya Kolo FC ya mtaani.Hii timu timu ipo mtaani inashiriki ligi ya mbuzi ila inabebwa na marefa, una lingine? vip hapo umeona kuna mamlaka imetajwa,kwenye hayo malalamiko zidi ya Kolo FC.
Ni utoto tu au kuna shida nyingine inachangia? Kama utetezi wenyewe ndiyo huu, adhabu ingeongezwa na ya vikobo 12 akamsimulie mama ake.
 
Nikuelimishe vipi wakati Kolo FC ni timu ya mtaani ambayo haishiriki ligi kuu na haijasajiliwa.

Kwa hiyo unataka kuijua timu ya Kolo FC ya mtaani.Hii timu timu ipo mtaani inashiriki ligi ya mbuzi ila inabebwa na marefa, una lingine? vip hapo umeona kuna mamlaka imetajwa,kwenye hayo malalamiko zidi ya Kolo FC.
Kwa kuwa hiyo timu iko mtaani kwako,wapige picha ututumie humu JF tuone hata rangi ya jezi zao.
 
Back
Top Bottom