Tetesi: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally anusurika na rungu la TFF

Tetesi: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally anusurika na rungu la TFF

Eti Ahmed Alituhumiwa Kasema adui Wa Simba nambari 1 ni nyuma mwiko..!

Namshauri Ahmed next time aseme aduo nambari 1 wa Simba ni 'mbele mwiko'...! Bila shaka Walomshitaki Wataridhika!
 
Kesi yao iliahirishwa na kusogezwa mbele, Waufukweni acha kuleta stori za vijiweni na kutoka kwa wachambuzi uchwara,nilikuwa nakukubali sana mkuu,ila ukiendelea na stori za vijiweni utaonekana wa hovyo na utapuuzwa. Badilika mkuu.
Hapo juu hujasoma hiyo link? Waliitwa tarehw tatu wakasogeza mbele ambayo ni kesho yake
 
Sijui kwanini Mpira wa tanzania wasemaji wanakuwa na nguvu kuwashinda hata makocha..

Huwa nashangaa sana maana hii ni tofauti sana.

Ukiniuliza mm msemaji wa Man U ni nani hata sijui, au msemaji wa Liverpool hata simjui. Ila hapa bongo unaweza kiwa humjui kocha ila unamjua msemaji
Hasa kwa timu kama uto inayobadili makocha kama mimi ninavyobadili mboga
 
Hili ni funzo tu ,, mnapokuwa kwenye hizi taasisi maneno ya mzaramo anakwambia usinene ukamala (usiongee ukamaliza) kumbuka kuna maisha nje ya hizi taasisi, yuko wapi antonio nugaz, bumbuli ,manara? Dogo ndo kwanza kaanza kumjengea bi mkubwa wake maskini kakutana na lungu,,sio mbaya bado kijana yule atajitafuta sehemu nyingine, ila manara kama namuona huko aliko alivyofurahia, nikiwa kama mshabiki wa wana lunyasi sijapenda dogo kusimamishwa kibaruani kama ni kweli ila sitapenda kumuona wakimrudisha tena bwana manara japo hainihusu.
 
Sijui kwanini Mpira wa tanzania wasemaji wanakuwa na nguvu kuwashinda hata makocha..

Huwa nashangaa sana maana hii ni tofauti sana.

Ukiniuliza mm msemaji wa Man U ni nani hata sijui, au msemaji wa Liverpool hata simjui. Ila hapa bongo unaweza kiwa humjui kocha ila unamjua msemaji
Kwasababu mpira wa bongo nguvu kubwa ya ushindi upo nje ya uwanja ndo maana tukienda kimataifa huwa hatutoboi.
 
Utopolo wanapenda sana kupigwa rungu, Kupigwa rungu na FIFA walishazoea sasa ni zamu ya TFF kuwapiga rungu
 
Kwa hiyo kilicho mponza Kamwe ni hiki?
Screenshot_20250306_095907_Instagram.jpg

Inamaana kwenye NBC league kuna timu inaitwa Kolo.......
 
Alicho kitafuta amekipata.
Akapumzike miaka miwii kama mtangulizi wake, akirudi na nafasi yake inatwaliwa na wengine
 
Utetezi kama huo ukiutumia kwenye mahakama ya kiraia utaeleweka sio TFF.
Hii clip sijatuma mimi imepostiwa leo asubuhi kwenye page za Wasafi wanadai hiyo ndio sababu yenyewe. Kwani tofauti ya TFF na hizo za kiraia tofauti yake nini, au za kiraia kuna wanasheria huku kwingine kesi zinaamuliwa na wanazi.
 
Hii clip sijatuma mimi imepostiwa leo asubuhi kwenye page za Wasafi wanadai hiyo ndio sababu yenyewe. Kwani tofauti ya TFF na hizo za kiraia tofauti yake nini, au za kiraia kuna wanasheria huku kwingine kesi zinaamuliwa na wanazi.
TFF wanajua Kolo ni nani, Utopolo, Nyuki wa Tabora, Gongo wazi,Mbumbumbu,Lambalamba..

Mahakamani unaweza mtukana John na ukaachiwa kwasababu hati ya mashtaka imeandikwa John Magufuli.

TFF hawafanyi kazi hivyo.
 
Back
Top Bottom