Usimsikilize huyo muongo nna ndugu yangu ni mgonjwa mgonjwa haswa na anaenda huko kwa huyo Mwamposo sijui Mwamposa hio Posa sijui anapewa nani na anaposwa nani hivi mnaelewa maana ya Posa na Kuposa, Mwamposa ni Nickname km nickname zingine za wapigaji, wezi na waranguzi
Ndugu yangu anaenda huko kila siku hachoki na hajapona mpaka leo ni mwanamke na wanawake ni rahisi sana kuibiwa kirahisi rahisi na hawa wezi wanaitumia vizuri hio loophole ya wanawake kua wajinga wajinga wenye huruma za kijinga na kupenda miujiza ya uongo na kijinga mwisho wanaishia kuibiwa tu na wakiambiwa hapo unaibiwa hawaelewi
Ana uvimbe kwenye kizazi kaenda hospital imeshindikana kaenda kwa Mwamposa kanywa sana yale maji kanywa sana yale mafuta hakuna kitu kimetokea tatizo lipo pale pale so who is Mwamposa km sio mwizi tapeli ?