- Thread starter
- #61
Hii ndio kanuni niliyochagua ktk zama hizi za kibepariKama nahudumia I expect effort!
Usipo onyesha jitihada huduma zinahamia kwa mwenye jitihada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio kanuni niliyochagua ktk zama hizi za kibepariKama nahudumia I expect effort!
Usipo onyesha jitihada huduma zinahamia kwa mwenye jitihada.
Lakini anadai kwamba hana mtu mwingine.Yani we jamaa kama ni kuchapiwa daaah!
Inawezekana anavyokuja kwako anakuwa kaja kula bata tu si vinginevyo
Na huo ubepari wameutaka wenyewe.Hii ndio kanuni niliyocjahua ktk zama hizi za kibepari
Inawezekana ni yeye pia. Kuna Wanawake hawana mzuka yaani ndo wapo hivyoMbona kama najitahidi au tatizo kweli liko
kwangu?
wala usimtete,,,jamaa mchovu huyo......Inawezekana ni yeye pia. Kuna Wanawake hawana mzuka yaani ndo wapo hivyo
Ha haa hayawala usimtete,,,jamaa mchovu huyo......
kwa mwaka wana duu 2-3......hata mgonjwa wa kisukari sio hivyo....iko shida kwa jamaa.....wajua mwili ukichoka ndo hamu inakuwa juu balaa......sasa huyu anatuabisha kweli........Ha haa haya
Serious unalalamika kutoa 50k au 100k?
Hiyo ni ya kutoa tu bro hata kama huna mpango naye iwe ni fadila ya namna mlifurahi pamoja huko nyuma mkuu
sasa kama yuko hivyo basi sio type yangu huyo, mi napenda mshikemshike, full motomoto sio unapoa kama kuku wa mdondo.Inawezekana ni yeye pia. Kuna Wanawake hawana mzuka yaani ndo wapo hivyo
Sasa kama tunafanya marachache si ndio tukikutana inabidi tulipizie na zile zote za nyuma?? Iweje round moja tu halafu.unauliza ati kwani tunarudia?? Mi namwambia hapana haturudii huku kwenye akili yangu nafanya deduction kwenye package niliyomwandalia ya zawadi. Atakula jeuri yake.kwa mwaka wana duu 2-3......hata mgonjwa wa kisukari sio hivyo....iko shida kwa jamaa.....wajua mwili ukichoka ndo hamu inakuwa juu balaa......sasa huyu anatuabisha kweli........
Unatakiwa umfundishe aendane na Wewesasa kama yuko hivyo basi sio type yangu huyo, mi napenda mshikemshike, full motomoto sio unapoa kama kuku wa mdondo.
Mkuu.mimi sio mchovu, ndio maana siridhiki na round moja tena hafifuwala usimtete,,,jamaa mchovu huyo......
Ni 30yrs old huyu hakuna asichokijua, ma siri yangu ni kudate above 27yrs, chini ya hapo sigusi wala siangalii.Unatakiwa umfundishe aendane na Wewe
Basi hamuendani, ukute akikutana na mwingine anapiga show vizuriNi 30yrs old huyu hakuna asichokijua, ma siri yangu ni kudate above 27yrs, chini ya hapo sigusi wala siangalii.
Hahaaaa nimemwacha akawatafute akina Salum Mbeba nondo.una tatizo wewe...kwa mwaka mara 2-3......mwache tu bidada asonge mbele.....
Hahaaaaa lakini siku za nyuma wakati anataka nimuoe alikuwa anajitahidi, ningemuoa leo ingekula kwangu kwa gemu hili halina viwango kabisa yaani kitandani anajivutavuta weeee kama vile unamlazimisha.Basi hamuendani, ukute akikutana na mwingine anapiga show vizuri
inawezekana.kazi ipo, labda mwezio alikuwa anatumika nguvu zimekataaaa
Sio Kama alikuwa anajitahidi Bali alikuwa anakufeel, now hakuna feelings Tena. Kaeni chini muongee Kama mnapendana. Ama sivyo peaneni nafasiHahaaaaa lakini siku za nyuma wakati anataka nimuoe alikuwa anajitahidi, ningemuoa leo ingekula kwangu kwa gemu hili halina viwango kabisa yaani kitandani anajivutavuta weeee kama vile unamlazimisha.