masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
bado unampenda usingemuanzisgia uzi
nijuavyo mtu ambaye humpendi ni rahisi sana kumsahau
nijuavyo mtu ambaye humpendi ni rahisi sana kumsahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke unayempenda na kumtamani utamfundisha ili aendane na mapigo yako. Nilifundishwa sex na ex wangu..😜 jamaa matata sana yule 😆😆Haahaha sisi tusiojua kubinua tunapata shida sana
😳😳😳😛nakuja na mm nifundishweMwanamke unayempenda na kumtamani utamfundisha ili aendane na mapigo yako. Nilifundishwa sex na ex wangu..😜 jamaa matata sana yule 😆😆
Siwezi 😆😆😆, nimekuwa mvivu siku hizi😳😳😳😛nakuja na mm nifundishwe
😀hivohivo mdogomdogoSiwezi 😆😆😆, nimekuwa mvivu siku hizi
Bora hata wa Gwajiboy alitoa toa kasauti huyu wangu kama deadbody.Ina maana huyo demu wako ana show mbovu kuliko yule wa Gwajiboy😁😁😁
Mkuu icho kifaa kipya kinatoa ushirikiano????Jamani hizi ni zama za nipe nikupe! Huu ndio ukweli wa maisha ya siku hizi.
Wadada mnaopenda kuhudimiwa na wanaume( Karibu nyote mnapenda) mjipime na kujitafakari kama huduma mnazotoa zinakidhi viwango au la!
Huyu mpenzi wangu mimi kutokana na kazi zangu za kuhudumia jamii, nakuwa bize sana mwaka hadi mwaka kiasi kwamba hatuonani mara kwa mara, agalau tunaweza kuonana mara mbili au tatu kwa mwaka.
Anaweza kudai amenimisi sana( ofcourse hata mimi nammisi sana) nakuja kwangu mara nyingi hugharamia safari zake mwenyewe au mimi kama mwanaume namlipia kila kitu au kumrejeshea gharama zote na zawadi kedekede. Akifika kwangu huku Mkoani, Tendo moja tu yuko hoi tena la kawaida, hana hamu tena, na ananiuliza hivi tutarudia tena?? Nakereka sana.
Sasa huduma nimesitisha zile 50k na100k za hapa na pale simpi na wala simwambii kwa nini. Ni mwaka sasa shida zimemuota kwenye meno, kila siku analialia nimsaidie. Amechezea Bahati kwa kujiona yeye mzuri sana. Sitoi hata senti kila siku namsingizia Mh Rais Vyuma kakaza.
Wadada na wanawake Jifunzeni kwa hili Huduma mbovu haileti thawabu.
Nimepata Kifaa kipya
Hahaha...Loh! Nyie ndo walewale ukianza gemu unamlamba mtu mwli mzima kama nyoka, akitoka hapo mtoto wa watu ananuka mate mwili mzima, sasa ataacha kuuliza tutarudia tena mana akifikiria shurba ya mate hamu hana...[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu naona unalazimisha tuition kwa mwalimu wa hisabati,😀hivohivo mdogomdogo
HahahahaSerious unalalamika kutoa 50k au 100k?
Hiyo ni ya kutoa tu bro hata kama huna mpango naye iwe ni fadila ya namna mlifurahi pamoja huko nyuma mkuu
Naona unachangamkia fursaNipe namba zake mkuu, nikaprove usemacho
Sasa nitaaminije, tuliosoma hesabu vidudu ili kuthibitisha unatakiwa uproveNaona unachangamkia fursa
Safi sana ulete mrejeshoSasa nitaaminije, tuliosoma hesabu vidudu ili kuthibitisha unatakiwa uprove
Ulikuwa spairJamani hizi ni zama za nipe nikupe! Huu ndio ukweli wa maisha ya siku hizi.
Wadada mnaopenda kuhudimiwa na wanaume( Karibu nyote mnapenda) mjipime na kujitafakari kama huduma mnazotoa zinakidhi viwango au la!
Huyu mpenzi wangu mimi kutokana na kazi zangu za kuhudumia jamii, nakuwa bize sana mwaka hadi mwaka kiasi kwamba hatuonani mara kwa mara, agalau tunaweza kuonana mara mbili au tatu kwa mwaka.
Anaweza kudai amenimisi sana( ofcourse hata mimi nammisi sana) nakuja kwangu mara nyingi hugharamia safari zake mwenyewe au mimi kama mwanaume namlipia kila kitu au kumrejeshea gharama zote na zawadi kedekede. Akifika kwangu huku Mkoani, Tendo moja tu yuko hoi tena la kawaida, hana hamu tena, na ananiuliza hivi tutarudia tena?? Nakereka sana.
Sasa huduma nimesitisha zile 50k na100k za hapa na pale simpi na wala simwambii kwa nini. Ni mwaka sasa shida zimemuota kwenye meno, kila siku analialia nimsaidie. Amechezea Bahati kwa kujiona yeye mzuri sana. Sitoi hata senti kila siku namsingizia Mh Rais Vyuma kakaza.
Wadada na wanawake Jifunzeni kwa hili Huduma mbovu haileti thawabu.
Nimepata Kifaa kipya
Mbona kama najitahidi au tatizo kweli likoYaani ukiona demu hajitumi au baada ya bao moja hataki Tena ujue huna swaga zinazomvutia yaani kwenye romance hujamsisimua, kwenye game nako hakuna lolote. Unashindwaje kumbinua mwanamke utakavyo?? Yaani mapigo yako lazima yampe mzuka