The bright one
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 272
- 565
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅We ndo mchovu usimsingizie huyo binti
Gari unatembeza maili chache tu linaishiwa mafuta afu unatafuta mchawi
sasa nimpendee nini tena??Ulimpendea mtombo...heheheeee,mapenzi ya karne ya 21 n amshapopo...
na mimi nahisi hivyo Japo yeye kila siku anakataa anasema hana mwanaume.Anakuwa kashachoshwa huko sasa wewe ukimgusa gusa lazima aone unamsumbua sumbua....
Naomba unitumie nauli mie....sasa nimpendee nini tena??
Kifaa kipya kiko moto. Usipoangalia utahonga kila kitu.Mkuu icho kifaa kipya kinatoa ushirikiano????
mdada wa miaka 32 kweli hajui kitu? Hajui mwanaume anataka nini awapo 6x6? mbona vitoto vya 22 vinajielewa?Ongea naye atajirekebisha.
Usije ukawa miongoni mwa Wala nauli? akina Beti na kina TinaNaomba unitumie nauli mie....
🤣🤣Nyie wote mmekutana apeche alolo
Sili nauli mi mwaminifuUsije ukawa miongoni mwa Wala nauli? akina Beti na kina Tina
😅😅Sili nauli mi mwaminifu
Hii sasa biasharaDaaah! Kwa mwaka mara 2 au 3 afu bado unahudumia hauko serious mzee..... Mm demu ninae hudumia kila weekend lzm nimpelekee moto tena moto kwelkwel ad aombe poo[emoji855]
Aizsee tuacheni utani malaya wanajua bwana!Na hii ndio sababu mojawapo ya kuwafanya wanaume wapende malaya kumbe.