Inakera sana: Mtu umemlipia nauli kutoka mkoa hadi mkoa baada ya muda mrefu hamjaonana, akija gemu hafifu sana

🤣 🤣 🤣 🤣 nikafikiri

inakera sana: Mtu umemlipia nauli kutoka mkoa hadi mkoa baada ya muda anazima simu​

 
Na hii ndio sababu mojawapo ya kuwafanya wanaume wapende malaya kumbe.
 
Daaah! Kwa mwaka mara 2 au 3 afu bado unahudumia hauko serious mzee..... Mm demu ninae hudumia kila weekend lzm nimpelekee moto tena moto kwelkwel ad aombe poo[emoji855]
 
Daaah! Kwa mwaka mara 2 au 3 afu bado unahudumia hauko serious mzee..... Mm demu ninae hudumia kila weekend lzm nimpelekee moto tena moto kwelkwel ad aombe poo[emoji855]
Hii sasa biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…