Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Ccm. N
Hakuna kitu kpya kwenye siasa kama livyo ccm kuwafukuza masauni, Stella msambatavangu, Sofia, madabida no hivyo hivyo kwa CDM
 
Siyo CCM tu hata Mungu anataka hivyo kwa sababu muda wake umekwisha na anapaswa kupisha wengine kama yeye walivyompisha pia, vinginevyo afute neno ,,demokrasia” kwenye chadema.
Sijawahi kuona ukitoa povu ccm itoke madarakani maana tangu uhuru mnaendele kuwa mdarakani na kufukarisha Nchi na wajinga
 
Vipi kuhusu ccm iliyomamlakani inayolindwa kwa Bunduki hii kwako haiwezi kuwa tatizo?? ila Mbowe?Slaa alikuahidi uwaziri mkuu nini
 
kwa manufaa ya JF na wanaccm wenzio unaweza kuweka hapa kifungu ambacho Mbowe amekivunja ?
 
Usimfananishe mbowe na vitu vya kijinga
 
Mara Kubenea,Kom ama CCM hamjui mchawi wa Mbowe ni Mbowe mwenyewe.... Demokrasia tunayoililia kila siku lazima tuwe tayari kuiishi hata kama Chungu.

Mmeharibu mal izake ili mumshushe bei lakini wapi.........

Tafteni bei yake, mwache kusumbuasumbua watu humu ndani.............
 
Tanu- Ccm 1961-2018, mbona hakuna anayepiga kelele ccm iachie madaraka, kidemokrasia, Mbowe usiwasikilize hao wahuni wechapa kazi, hakuna mgogoro wowote cdm unakuzwa na CCm mitandaoni tu.
 
Swali lako ni jibu tosha
 
huwa wanajiwekaga na wanatafuta watu wachache ku justify

museven Uganda anafanya hivyo hivyo

ifike wakati hawa tunaowapenda sana tuwakosoe ni kwa faida ya taifa

CDM ikifa leo sio afya kwa taifa
tia nyama ndugu.

"wanatafuta watu wachache ku justify" - how exactly? nani anamtafuta nani? uki specify majina na ushahidi (hata wa mazingira) itafaa zaidi. km.... Mbowe alijiweka mwenyewe na aliwatumia x,y,z ku jusify (kivipi, wapi, ushahidi).
 
Ni katiba ipi sliyoivunja Mbowe, tunaomba utuwekee hicho kifungu cha katiba kama ushahidi.
 
Na hao wanaokutana na kutaka Mbowe aachie Madaraka wana kosa gani.....kwa nini asiruhusu demokrasia yeye achukue na wengine wachukue fomu kura zipigwe wanachama ndio waamue.?
Ccm Magufuli aligombea na nani uenyekiti? Wape ushauri huu ccm wenzako.
 
Siyo CCM tu hata Mungu anataka hivyo kwa sababu muda wake umekwisha na anapaswa kupisha wengine kama yeye walivyompisha pia, vinginevyo afute neno ,,demokrasia” kwenye chadema.
Acha kumshirikisha Mungu na upumbavu wako
 
Basi tusilalamike siku ccm wakipeleka hoja bungeni kuwa Magufuli atawale bila ukomo.
Chuki zako zinazidi kukujaza ujinga, hajuna muswada wowote unaoweza kupelekwa bungeni kwa jina la Magufuli acha utoto.

Nyerere alitawala bila kikomo na aliachia mwenyewe kwa hiyari yake madaraka, msidhani kila mtu ni mjinga na hatuelewi ukweli wa mambo.

Hebu washaurini kina Dovutwa kwanza wawapishe watu wengine na hata uchaguzi sijui huwa wanafanya lini wala vikao huwa vinafanyika wapi.
 
Hii ni katiba halali au haram? Ofisi ya msajili inaitambuwa au haiitambui katiba hii?

Katiba ya Chadema inatungwa na kupitishwa na Mbowe au ni chombo gani kinachofanya kazi hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…