Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Siyo jambo baya kwa kiongozi anayependwa na wale anaowaongoza kukaa madarakani hata kwa maisha ilimradi tu katiba husika inafuatwa.
Tumeshuhudia Mwenyekiti wa Chadema akikaribia kutimiza miaka 20 sasa madarakani na kwa kuwa Chadema wanajinasibu kama chama cha demokrasia, ndio nauliza hii ndio demokrasia au udikteta?
Naelewa huku CCM kuna wabunge wako mjengoni kwa zaidi ya miaka 30 lakini hiki ni chama cha mapinduzi ndio maana swali langu nimelielekeza kwa chama cha demokrasia.

Nitashukuru nikijibiwa!
Wewe huna akili, mwenyekiti wa kwanza wa CCM alikaa madarakani miaka mingapi, ina maana hakuna demokrasia huko? na Chadema kama amechaguliwa, we unataka demokrasia gani tena, jiongeze !!
 
Huyo Lipumba mnayemnganganiza abaki CUF mbona hakuna anayemulizia???
Ama wakina Mrema? Ama hao hamwaoni?
 
Mbn wakionekana watu wa kutaka chuana na mwenyekiti wenu hko chichiem mnakuja juu!
Hmtaki mchuano

Ova
 
Mbn wakionekana watu wa kutaka chuana na mwenyekiti wenu hko chichiem mnakuja juu!
Hmtaki mchuano

Ova
Wa huko wakitaka kuchuana yanawakuta makubwa zaidi
WANGWE, KABWE ........
 
Kwanini mwenyekiti wenu akitaka kupingwa anaita kukwamishwa kwenye juhudi zake
 
Umshangae na Nyerere kukaa madarakani miaka 25..
Na CCM kung'ang'ania madaraka miaka 41 na kudiriki hata kufanya mauwaji kama yale ya jan. 27 na yakaribuni..
Na POMBE kung'ang'ania ubunge miaka 20 ikiwa ni pamoja na kuwapakia wapinzani wake matrekta barabarani ili wasirudishe fomu naye apite bila kupingwa..
Juu ya yote hayo cheo cha uenyekiti upinzani ni Wito..
Risasi iliyomuuwa AQWILINA ilikusudiwa kumlenga Mbowe..
Mwenyekiti kaharibiwa mashamba chini ya agizo la pombe..
Mwenyekiti muda huu unapopost uhayawani, yeye yupo korokoroni
MLITAKA MWENYEKITI AWE KATAMBI ? AU WAITARA ? AU MTATIRO ? AU MILLYA ?
Duuhh!! Hili la matrekta limenishtua kidogo.. Kumbe ni wapenda madaraka... Tumekwishaaa.
 
Siyo jambo baya kwa kiongozi anayependwa na wale anaowaongoza kukaa madarakani hata kwa maisha ilimradi tu katiba husika inafuatwa.
Tumeshuhudia Mwenyekiti wa Chadema akikaribia kutimiza miaka 20 sasa madarakani na kwa kuwa Chadema wanajinasibu kama chama cha demokrasia, ndio nauliza hii ndio demokrasia au udikteta?
Naelewa huku CCM kuna wabunge wako mjengoni kwa zaidi ya miaka 30 lakini hiki ni chama cha mapinduzi ndio maana swali langu nimelielekeza kwa chama cha demokrasia.

Nitashukuru nikijibiwa!

Swali lako ni zuri saaaaana BUT huwezi kupewa jibu sahihi zaidi utajibiwa porojo tu wanachadema.
 
Wakuu Natoa Taarifa Tu Kwamba, Freeman Mbowe anakaribia Kufikisha Miaka20 Akiwa Kama Mwenyekiti Wa Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo.
 
Wakuu Natoa Taarifa Tu Kwamba, Freeman Mbowe anakaribia Kufikisha Miaka20 Akiwa Kama Mwenyekiti Wa Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo.

Sawa thank you kwa taarifa, tunaomba na takwimu za lipumba na cheyo
 
Kwakweli CHADEMA akifa mbowe nayo Chali kifo cha mende..Ila mbowe ana roho ya paka kama siyo ya msukule,yani mabomu yote wanayopigwa bado yumo tu?Piga chini uishi maisha mazuri[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siyo jambo baya kwa kiongozi anayependwa na wale anaowaongoza kukaa madarakani hata kwa maisha ilimradi tu katiba husika inafuatwa.
Tumeshuhudia Mwenyekiti wa Chadema akikaribia kutimiza miaka 20 sasa madarakani na kwa kuwa Chadema wanajinasibu kama chama cha demokrasia, ndio nauliza hii ndio demokrasia au udikteta?
Naelewa huku CCM kuna wabunge wako mjengoni kwa zaidi ya miaka 30 lakini hiki ni chama cha mapinduzi ndio maana swali langu nimelielekeza kwa chama cha demokrasia.

Nitashukuru nikijibiwa!
Juzi CHRISTIAN DEMOCRATIC UNION( CDU) chama cha Angela Merkel kilikuwa kinafanya uchagizi wa kumchagua kiongozi wa chama baada ya Merkel kukiongoza chama hicho kwa miaka 18. Na ni chama chenye kufuata democracy. Huku kwetu ni mitazamo tu. CCM toka kuanzishwa kwake kimekuwa na webyeviti watano toka mwaka 1977. Chadema toka kuanzishwa kwake kimekuwa na wenyeviti watatu kuanzia mwka 1992 .Sioni tatizo. Ukiangalia uwiano na CCM ni sawa tu
 
Vipiq
Siyo jambo baya kwa kiongozi anayependwa na wale anaowaongoza kukaa madarakani hata kwa maisha ilimradi tu katiba husika inafuatwa.
Tumeshuhudia Mwenyekiti wa Chadema akikaribia kutimiza miaka 20 sasa madarakani na kwa kuwa Chadema wanajinasibu kama chama cha demokrasia, ndio nauliza hii ndio demokrasia au udikteta?
Naelewa huku CCM kuna wabunge wako mjengoni kwa zaidi ya miaka 30 lakini hiki ni chama cha mapinduzi ndio maana swali langu nimelielekeza kwa chama cha demokrasia.

Nitashukuru nikijibiwa!
Mbowe alichaguliwa na wanachadema na si maccm,hata akikata miaka 100 kwasababu wanachama ndo wanaomchagua,ninyi endeleeni kuunga mkono mashetani .
 
Bora mbowe bado chama chake kinachaguzi japo haina ukomo je, ATC kiongozi mkuu wa chama asiyechakuguliwa ataishi hiyo nafasi mpka lini??
 
Back
Top Bottom