Inakuwaje CCM yenye wabunge zaidi ya 250 inashindwa kujitosheleza kwa sifa za uwaziri hadi hadi wanateuliwa wapinzani na akina Mwigullu kurudi tena?

Ukosefu wa maarifa unaweza ukakunyima opportunities nyingi sana na wenye maarifa wanapeta na kupepea.

Kwa bahati mbaya tena hata hao wenye maarifa nao wanaangalia matumbo yao kuliko ya wengine.

Motoni wataenda wengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nivyema umetambua kwamba kuna mbumbumbu weni chama cha nzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JF raha sana
 
Comrade nimeamini CCM mnahaki ya kulalamika hasa baada ya kumuona eti Dr mollel kawa naibu waziri 🤣🤣🤣
 
Kosa la Dr. Ndungulile ni nini?
 
Sasa wabunge wengine ndio hawa akina Harmonize wanaopigiwa debe unafikiri watakuwa na uwezo gani wa kuhoji mambo?? Ndio maana jiwe anawapenda wabunge wajinga wajinga kwa sababu hawana uwezo wa kufikiri kwa kina.
 
Hivi Kuna mtu nchi hii mwenye akili timamu anaweza kuwa na kadi ya ccm?Hii ccm ya Magufuli ni level ya kina msukuma,kibajaji,harmonize , diamond,and the like
 
Nachoshangaa zaidi hadi wewe mmoja wa wana-mataga amewafungia vioo,inauma Sana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…