Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Dunia inaenda kasi sana..yani watu wameacha mitako wamehamia kwenye mashago..inamaana mashago sasahivi ndio kivutio cha wateja baa.

#MaendeleoHayanaChama
Hapana. Mashoga hawana soko bali ndo wameshikiria connections nyingi.
Wanawake wanajiuza kirahis kupitia mashoga kuliko wanawake wenzie. Hata connections za madawa, human traffiking, na conspiracy wanatumika sana!
Shoga akimkarbia mkeo ni virus mbaya. Anamuuza asubuhi asubuhi! Kuna mashoga wanakula na kuliwa. Hawa viumbe ni hybrid gani ya watu sijui!
Ndo maana wanaume wa dar malaya wana no za mashoga si kwa kuwainamisha wao!
Mashoga hawawez kuwa na soko kubwa bongo maana wenye pesa mjini weng si asili ya coastal regions!
Bado k ni k tu. Ina thaman yake nzuri bado!
 
ndio kilichoshamiri kwenye hizo biashara mkuu.
Yaani wanywaji wengine wanashida sana,
unakuta mnywaji huyo huyo nyumbani mke anamroga kwa limbwata, labda ana nyumba ndogo nayo inampa limbwata, kwenye kazi au biashara zake wapinzani wake wanamloga , halafu kama ni mnywaji kwenye mabar wanamroga avutike kwenda kunywa kwenye bar yake,
So walevi wengi akili zao za kulogwa haa haaa tuwaombee
 
La chalz, meeda,.mwika zote zilijazaga hivyoooo
Hizi biashara ni upepo unakujaga utapita

Ova
Meeda mpaka leo inajaza full
Mie huwa nakosa parking inabidi nikaegeshe mtaa wa pili huko
 
Ila hii biashara ni pasua kichwa nyie. Ile Iddi pili nilienda bar moja ipo Manyanya chini ya papii churo. Palikuwa na band na ilifika muda tulikuwa wateja wanne, watu kumbe walikuwa wanajuana wakaondoka kwa mpigo, nikabaki peke yangu band ikaniimbia wimbo mmoja wa mwisho kisha wakanishukuru sana ndugu mteja, akaja DJ.

Nilivyoenda bar ya mbele pale karibu na kituo cha mafuta nikakuta nyomi mpaka siti za kutafuta.
Yaani maumivu ya hii biashara inakufia huku ukijua aliyekuua ni fulani.
We utakuwa ulienda uhuru peak
 
Ila hii biashara ni pasua kichwa nyie. Ile Iddi pili nilienda bar moja ipo Manyanya chini ya papii churo. Palikuwa na band na ilifika muda tulikuwa wateja wanne, watu kumbe walikuwa wanajuana wakaondoka kwa mpigo, nikabaki peke yangu band ikaniimbia wimbo mmoja wa mwisho kisha wakanishukuru sana ndugu mteja, akaja DJ.

Nilivyoenda bar ya mbele pale karibu na kituo cha mafuta nikakuta nyomi mpaka siti za kutafuta.
Yaani maumivu ya hii biashara inakufia huku ukijua aliyekuua ni fulani.
FM Academia pale La Chaaz wamemuimbia juzi mteja mmoja tu, wimbo wa happy birthday Hadi huruma.
 
Mbeya sijui mna tatizo gani kiburudani yule kajula alijitahidi kuwekeza mkamtenda sijui mkoje watu wa mbeya haya watoto wa mzee mwailubi nao wanajikongoja ila bado sana

Mbeya pazuri siielewi kabisa kwa vibe naikumbuka Shaba Pub ya enzi zile ilikua soweto ilikua unatoka lusaka unawaza ufike haraka shaba pub ule nyama walikua na jiko safi plus mtungi wa maana
 
Hizo bar za mjazanoo tulishawachiaga,mwendo kwa mangi tu

Ova
 
Hizo bar za mjazanoo tulishawachiaga,mwendo kwa mangi tu

Ova

Ewaaaa mambo yanaenda kwa rika hayo kukimbizana usiku kucha unahama viwanja kwa umri wa utu uzima nayo sio, kwa mangi unakaa na wazee wenzio wawili watatu story kidogo unakula monde unarudi home mapema na unakua karibu na nyumbani, vijana damu bado imechemka wanaenda kuangalia makalio ya wahudumu,
 
Ngoja nikupe siri ndugu.
Usifungue biashara sehemu eti kwakuwa umeona jirani amelemewa na wingi wa wateja. You will suffer consequences.
Unaweka kuuza bidhaa sh.elfu 2000 kama mbinu ya kuvutia wateja na wasikuone wakaendelea kwenda kununua kwa jirani yako anayeiuza sh.elfu 5.
Unaweza kuwa na lugha laini na nzuri na wateja wasije kwako wakaenda kwa jirani yako ambaye huwakaripia wateja daily.
Umeonge kikawa8da sana hakuna siri iliyotoka hapo? Toa siri kwanini watu wanajaa kitambaa cheupe lakini 5N kweupee wakati huduma zote zipo pia?
 
Umeonge kikawa8da sana hakuna siri iliyotoka hapo? Toa siri kwanini watu wanajaa kitambaa cheupe lakini 5N kweupee wakati huduma zote zipo pia?

Huyo alifungua duka karibu na muha kilichomtokea ndio hadi leo anahadithia na bei alishusha kabisa lakini wapi
 
Back
Top Bottom