Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Ewaaaa mambo yanaenda kwa rika hayo kukimbizana usiku kucha unahama viwanja kwa umri wa utu uzima nayo sio, kwa mangi unakaa na wazee wenzio wawili watatu story kidogo unakula monde unarudi home mapema na unakua karibu na nyumbani, vijana damu bado imechemka wanaenda kuangalia makalio ya wahudumu,
Kingine mashg weng pand hizo mzee

Na miss machimbo kama hunters,hugos ukienda unaweza ukakaa na mkaongea mipango

Ila bat zingin ukienda usumbufu tu
Kuvutana mashati,mizinga tu

Ova
 
FM Academia pale La Chaaz wamemuimbia juzi mteja mmoja tu, wimbo wa happy birthday Hadi huruma.
Dah! Kuna bar maarufu ya zamani nilienda gongo la mboto siku ya muungano wahudumu walikuwa wengi kuliko sisi wateja.
Nikajua labda ni mapema lakini nilikaa mpaka saa tisa alasiri lakini wapi.

Hawajifunzi wengine wanakarabati ili wakimbizane na wateja, wao wamebaki kizamani wanajua jina linatosha.
 
Mbeya pazuri siielewi kabisa kwa vibe naikumbuka Shaba Pub ya enzi zile ilikua soweto ilikua unatoka lusaka unawaza ufike haraka shaba pub ule nyama walikua na jiko safi plus mtungi wa maana
Mbeya watu Wana pesa ila kuhusu burudani yani Bata kama Bata hakuna, kama Arusha tu watu wa uko Wana kelele Arusha Arusha ila napo ndio vile vile tz ni Dar, Mwanza kahama, na Morogoro watu wanajiachia jamani
 
Hivi hizi picha zinazopigwa na kumbi za starehe, huwa wanawaomba ruhusa wahusika?
hawaombi,wao wanapiga tu,haya mambo ndio yalinifanya nipachukie Dar Live maana ilikuwa kawaida kutokea kwenye gazeti unabambia...Pia nimewahi sumbuana na uongozi wa Hotel fulani baada ya kuniweka kwenye page yao ya insta nikiwa kwenye beach yao.
 
hawaombi,wao wanapiga tu,haya mambo ndio yalinifanya nipachukie Dar Live maana ilikuwa kawaida kutokea kwenye gazeti unabambia...Pia nimewahi sumbuana na uongozi wa Hotel fulani baada ya kuniweka kwenye page yao ya insta nikiwa kwenye beach yao.
Aise, hawajamaa hawaheshimu privacy ya mtu kabisa. Ipo siku itakuja wacost.
 
Huyo jesca mtoto wa king kiki sijui anatumia uchawi wa wapi? pale tabata majitu yanakosa nafasi yanakaa kwenye gari yanalilia wahudumu wawapelekee beer hukohuko wakati ukisogea the great pale hakuna wateja kabisa

nahisi back up kubwa yake ni mashoga ukweli ni kwamba siku hizi mashoga yana soko kubwa sana wadau wengi wanayafata
ebana eeee yan madem walivyo wazuri kuna wadau wanafata mapunga ...ama kweli zama zimebadilika
 
Back
Top Bottom