Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Ni PM sitamwambia mtu.Mi naijua siri yao. Ila siwezi kuiweka hapa hadharani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni PM sitamwambia mtu.Mi naijua siri yao. Ila siwezi kuiweka hapa hadharani.
Zamani miaka ya 90 kulikuwa na baa pale magomeni ikujulikana kwa Macheni ilikuwa inafurika mpaka asubuhi inabidi wale survivors waliokesha wapewe supu ya bure kabla baa haijafungwa kwa saa tatu kufanya usafi. Ilikuwa inafunguliwa saa nne asubuhi na kufungwa saa moja asubuhi kesho yake. Je bado ipo?Itafika muda patadoda kama Papii Churo, litaibuka chimbo lingine.
Zamani miaka ya 90 kulikuwa na baa pale magomeni ikujulikana kwa Macheni ilikuwa inafurika mpaka asubuhi inabidi wale sutrvivors waliokesha wapewe supu ya bure kabla baa haijafungwa kwa saa tatu kufanya usafi. Ilikuwa inafunguliwa saa nne asubuhi na kufungwa saa moja asubuhi kesho yake. Je bado ipo?
Apumzike kwa amani; alistarehesha sana watu kipindi hichoNa macheni mwenyewe ashafariki
Hiyo macheni ilikuwa kama bar ya nchi. Mwenye nayo Hussein Macheni kafariki 2016Zamani miaka ya 90 kulikuwa na baa pale magomeni ikujulikana kwa Macheni ilikuwa inafurika mpaka asubuhi inabidi wale sutrvivors waliokesha wapewe supu ya bure kabla baa haijafungwa kwa saa tatu kufanya usafi. Ilikuwa inafunguliwa saa nne asubuhi na kufungwa saa moja asubuhi kesho yake. Je bado ipo?
Aisee, nilikuwa naisikiaga sana hiyoHiyo macheni ilikuwa kama bar ya nchi. Mwenye nayo Hussein Macheni kafariki 2016
Panaitwa Mombasa highway pale ni shidaKuna chimbo moja liko Himo njia panda sikumbuki jina ila misiba yote ya Kaskazini lazima ikutane hapo night then asubuhi kila mtu anasepa kivyake.Watu wanakula bia Mpaka maiti zinashangaa yaani mwenye ile chimbo kawini.
mmmmhMi naijua siri yao. Ila siwezi kuiweka hapa hadharani.
RaskarinyoIla hii biashara ni pasua kichwa nyie. Ile Iddi pili nilienda bar moja ipo Manyanya chini ya papii churo. Palikuwa na band na ilifika muda tulikuwa wateja wanne, watu kumbe walikuwa wanajuana wakaondoka kwa mpigo, nikabaki peke yangu band ikaniimbia wimbo mmoja wa mwisho kisha wakanishukuru sana ndugu mteja, akaja DJ.
Nilivyoenda bar ya mbele pale karibu na kituo cha mafuta nikakuta nyomi mpaka siti za kutafuta.
Yaani maumivu ya hii biashara inakufia huku ukijua aliyekuua ni fulani.
Raskarinyo Uhuru peak hakuna jipya tena siku hiziWe utakuwa ulienda uhuru peak
No! Las carinyo pa moto. Ni ile bar ipo nyuma ya jengo la mwanamboka ilipokuwa NBC. Wanasemaga ile bar wanajaa madalali.Raskarinyo
No! Las carinyo pa moto. Ni ile bar ipo nyuma ya jengo la mwanamboka ilipokuwa NBC. Wanasemaga ile bar wanajaa madalali.
Madalali wa nyumba, viwanja, magari, ofisi nk.Madalali wa nyumba?
Ilikufa Macheni mwenyewe alipokufa.Zamani miaka ya 90 kulikuwa na baa pale magomeni ikujulikana kwa Macheni ilikuwa inafurika mpaka asubuhi inabidi wale survivors waliokesha wapewe supu ya bure kabla baa haijafungwa kwa saa tatu kufanya usafi. Ilikuwa inafunguliwa saa nne asubuhi na kufungwa saa moja asubuhi kesho yake. Je bado ipo?