Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

 
Kwa hiyo Siri Ni Nini?
 
 
Mbona hakuna siri uliyotoa hapa sasa
 
Yaani hii sehemu si J3, si J4, si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?

Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
nasikia wanakafara la kuchinja kunguru na damu yake wanamwagia kwenye misupu ndo manake watu wanajaa kama kunguru wanafunga ndoa!!!..yaani wa2 wamegeuzwa kunguru!!
 
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…