The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,228
- 1,447
Kwahiyo unataka kumwambia yale ya sirini aliyofunuliwa suleimani huonyeshwa wachache 🧐🧐Ngoja nikupe siri ndugu.
Usifungue biashara sehemu eti kwakuwa umeona jirani amelemewa na wingi wa wateja. You will suffer consequences.
Unaweka kuuza bidhaa sh.elfu 2000 kama mbinu ya kuvutia wateja na wasikuone wakaendelea kwenda kununua kwa jirani yako anayeiuza sh.elfu 5.
Unaweza kuwa na lugha laini na nzuri na wateja wasije kwako wakaenda kwa jirani yako ambaye huwakaripia wateja daily.
Yes.Kwahiyo unataka kumwambia yale ya sirini aliyofunuliwa suleimani huonyeshwa wachache 🧐🧐
Na kama huna roho ngumu ya kufanya ushirikina biasha za chakula na vinywaji kama hizo achana nazo kabisa maana hutoboi,Yes.
Utajiri uko gizani.
Hata kwenye kitabu cha Isiya Mungu kathibitisha hilo
Eti, sembuse kitambaaHata chuppi ikiwa nyeupe kwa mwanamama inavutia zaidi kuliko ikiwa nyeusi
😃😃Eti, sembuse kitambaa
Mtoa mada akili kumkichwa
Kuna bar pub ddm I naitwa bistro ijumaa jmoss. Na jpili hakuna pa kukanyagaYaani hii sehemu si J3, si J4, si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?
Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
Principal za biashara za vitabuni huwa hazi apply kabisa - yashanikuta haya unayoyasema!!Ngoja nikupe siri ndugu.
Usifungue biashara sehemu eti kwakuwa umeona jirani amelemewa na wingi wa wateja. You will suffer consequences.
Unaweka kuuza bidhaa sh.elfu 2000 kama mbinu ya kuvutia wateja na wasikuone wakaendelea kwenda kununua kwa jirani yako anayeiuza sh.elfu 5.
Unaweza kuwa na lugha laini na nzuri na wateja wasije kwako wakaenda kwa jirani yako ambaye huwakaripia wateja daily.
Kuna jamaa yangu alikopa pesa bank afungue mgahawa . Aisee alipigwa na kitu kizito hakuaminiPrincipal za biashara za vitabuni huwa hazi apply kabisa - yashanikuta haya unayoyasema!!
Calabash dahCalabash, 5N, Catalunya pameshadoda
Kitambaa cheupe anakitu cha zaidi ya hayo usemayo, lazima tu..Sehemu nyingi zinadoda kwa sababu wamiliki hawajui kuwa uzuri wa sehemu ni upya
Sasa unakuta baa au mgahawa au guest haijapakwa rangi miaka 10 na zaidi
Mbao zimechakaa vibaya
Unakuta hata glass ni zile zile hata uniform hajabadili miaka
Kwa hiyo chimbo jipya likianza wote wanakimbilia huko kwa usafi ila nalo likianza kupauka wanakimbia tena
Inaonekana ametembelea walozi etiKitambaa cheupe anakitu cha zaidi ya hayo usemayo, lazima tu..
Small planet yupo.Wamesaidia kupunguza nyodo za boardroom. Lachaz sijui atafufuka?
Umri ni namba tu mimi mzee wangu mpaka anafikisha miaka 70 bado anaenda bar kulewaEwaaaa mambo yanaenda kwa rika hayo kukimbizana usiku kucha unahama viwanja kwa umri wa utu uzima nayo sio, kwa mangi unakaa na wazee wenzio wawili watatu story kidogo unakula monde unarudi home mapema na unakua karibu na nyumbani, vijana damu bado imechemka wanaenda kuangalia makalio ya wahudumu,
Wahudumu wao sio wezi wa kubana chenji au kuomba ofa za pombeMvuto, huduma na wateja kuridhika.
Ukiwa aa kuja walizaliwa dar hayo mambo wanasikia kwa watu huwa tu project za kufanya sio kuzurura usiku