Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Ngoja nikupe siri ndugu.
Usifungue biashara sehemu eti kwakuwa umeona jirani amelemewa na wingi wa wateja. You will suffer consequences.
Unaweka kuuza bidhaa sh.elfu 2000 kama mbinu ya kuvutia wateja na wasikuone wakaendelea kwenda kununua kwa jirani yako anayeiuza sh.elfu 5.
Unaweza kuwa na lugha laini na nzuri na wateja wasije kwako wakaenda kwa jirani yako ambaye huwakaripia wateja daily.
Kwahiyo unataka kumwambia yale ya sirini aliyofunuliwa suleimani huonyeshwa wachache 🧐🧐
 
Huyu mama wa kitamba cheupe kuna bar kafungua huko mbagala ni balaa kuna nyomi balaa..

Siku ya kwanza kuifungua kuna watu watatu walifia pale pale na kuna askaria aligogwa na gari na kufariki hapo hapo..

Hapa kitambaa cheupe mbagala hakuna weekend hamna mchana hamna usiku kuna jaza sijawah kuona
 
Ngoja nikupe siri ndugu.
Usifungue biashara sehemu eti kwakuwa umeona jirani amelemewa na wingi wa wateja. You will suffer consequences.
Unaweka kuuza bidhaa sh.elfu 2000 kama mbinu ya kuvutia wateja na wasikuone wakaendelea kwenda kununua kwa jirani yako anayeiuza sh.elfu 5.
Unaweza kuwa na lugha laini na nzuri na wateja wasije kwako wakaenda kwa jirani yako ambaye huwakaripia wateja daily.
Principal za biashara za vitabuni huwa hazi apply kabisa - yashanikuta haya unayoyasema!!
 
Sehemu nyingi zinadoda kwa sababu wamiliki hawajui kuwa uzuri wa sehemu ni upya
Sasa unakuta baa au mgahawa au guest haijapakwa rangi miaka 10 na zaidi
Mbao zimechakaa vibaya
Unakuta hata glass ni zile zile hata uniform hajabadili miaka
Kwa hiyo chimbo jipya likianza wote wanakimbilia huko kwa usafi ila nalo likianza kupauka wanakimbia tena
 
Sehemu nyingi zinadoda kwa sababu wamiliki hawajui kuwa uzuri wa sehemu ni upya
Sasa unakuta baa au mgahawa au guest haijapakwa rangi miaka 10 na zaidi
Mbao zimechakaa vibaya
Unakuta hata glass ni zile zile hata uniform hajabadili miaka
Kwa hiyo chimbo jipya likianza wote wanakimbilia huko kwa usafi ila nalo likianza kupauka wanakimbia tena
Kitambaa cheupe anakitu cha zaidi ya hayo usemayo, lazima tu..
 
Ewaaaa mambo yanaenda kwa rika hayo kukimbizana usiku kucha unahama viwanja kwa umri wa utu uzima nayo sio, kwa mangi unakaa na wazee wenzio wawili watatu story kidogo unakula monde unarudi home mapema na unakua karibu na nyumbani, vijana damu bado imechemka wanaenda kuangalia makalio ya wahudumu,
Umri ni namba tu mimi mzee wangu mpaka anafikisha miaka 70 bado anaenda bar kulewa
 
Back
Top Bottom