Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

The Great inajaza kuanzia saa 6 usiku mpaka kule bondeni
Kitambaa saa 2 ishajaza
Kama una akili timamu bora ukaenda The Great kuliko kitambaa cheupe sababu mambo yaliyopo kitambaa cheupe hata the great yapo isipokua mashoga tu
🤣🤣🤣 The great hua nafata msosi tu kitambaa sijawahi kupaelewa
 

Ni ushirikina mkuu , nina uhakika wa hilo, 99% ya wamiliki wa mabar wanatumia ushirikina kuvutia wateja sema wanazidiana ujanja na wengine wanakosea masharti hadi bar zinakufa kimaajabu.
Asikwambie mtu hizi biashara za mabar zinashirikisha uchawi na ushirikina mkubwa sana , nimeshashuhudia live ulonzi unafanyika kwenye bar tena sio moja,
 
Uchawi ni kitu kimoja kikatili sana
ndio kilichoshamiri kwenye hizo biashara mkuu.
Yaani wanywaji wengine wanashida sana,
unakuta mnywaji huyo huyo nyumbani mke anamroga kwa limbwata, labda ana nyumba ndogo nayo inampa limbwata, kwenye kazi au biashara zake wapinzani wake wanamloga , halafu kama ni mnywaji kwenye mabar wanamroga avutike kwenda kunywa kwenye bar yake,
 
Full kurogwa, ukikaa nchale , ukisimama nchale
 
duh kumbe kuna ndumba kwenye hayo mavijiwe ya kula maji ya mende, ndiomaana kuna vijiwe jamaa yangu sikuhizi hakanyagi maana aliopoa dude bayaaaaaaaaaaaaaaaaaa akajikuta anaweka kituo kuja kushtuliwa na wana ndio akaachana nalo vinginevyo ni disaster sana , yani wanaume tunarogwa sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…