Yani wamilikia huwa wanawaalika watu wenye pesa watu wenye pesa wanachawa wataleta mademu na sehemu kukiwa na mademu wanaume lazima waongezekee so pesa nje nje mademu wanaongezeka tena.. ni biashara ya umalaya ndio inafanya bar ibambeHii husababishwa na nini..tupe uzoefu wako.
#MaendeleoHayanaChama
Hamna hiko kitu we mzee babaNi ushirikina mkuu , nina uhakika wa hilo, 99% ya wamiliki wa mabar wanatumia ushirikina kuvutia wateja sema wanazidiana ujanja na wengine wanakosea masharti hadi bar zinakufa kimaajabu.
Asikwambie mtu hizi biashara za mabar zinashirikisha uchawi na ushirikina mkubwa sana , nimeshashuhudia live ulonzi unafanyika kwenye bar tena sio moja,
Ndiyo MkuuIpo bima sehem gani au ndo Ile opposite na 40 40
Kweli?? Mmmh basi atareNi ushirikina mkuu , nina uhakika wa hilo, 99% ya wamiliki wa mabar wanatumia ushirikina kuvutia wateja sema wanazidiana ujanja na wengine wanakosea masharti hadi bar zinakufa kimaajabu.
Asikwambie mtu hizi biashara za mabar zinashirikisha uchawi na ushirikina mkubwa sana , nimeshashuhudia live ulonzi unafanyika kwenye bar tena sio moja,
Ni hatari sana, sisi wanywaji tunachangamoto nyingi sanaKweli?? Mmmh basi atare
Hapa ndio huwa anakamatia watu...Kule Tabata kuna zile Castle lite 7 kwa 10k tu
Calabash siku hizi haipoCalabash, 5N, Catalunya, Mawasiliano park pameshadoda
Maongezi labda Gwambina lounge..Meeda yenyewe zamani Ilikuwa inafurika
Sema sehemu hizo siyo za kwenda kuongea mipango Maana hamta sikilizana
Huko Labda kunywa na kufata madem
Ova
Naungana na wewe. Kuna siku nilitoka kumsubiri mgeni wangu Urafiki pale pana bar ya Kilimanjaro.Acha mawazo ya kijinga. Hamna cha kafara wala nini. Nani ana muda mchafu huo, vitu sikuhizi ni customer care nzuri.
Si Ndio yule Bint wa King kikii, aliwahi kuwa muhudumu wa ndege za LocalHyo Cha mtoto nenda Kitambaa Waiti Ya Tabata(Zamani maeda bar) utafurahi na Roho Yako.
.
Mmiliki anaitwa Jane Kikumbi, Mkinga Mmoja pisi Kali mnoo Ila bahati Mbaya amefunga Ndoa Mwaka Jana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado kidimbwi tuTipsy watu walikuwa wanasukumizana sahv wametulia
Ova
Haswaaa!Huyo King Kikii si nilimuona kwenye TV anaumwa anaomba msaada... Dah
Kidimbwi itadumu
Fukwe ile
Ova
Ilikwenda na mbowe[emoji26]Hivi biashara ya night club ndio ilishakufa Dar es salaam?