Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

picha tuone mnavyokanyagana

Screenshot_20220321-134712.png
 
Ni ushirikina mkuu , nina uhakika wa hilo, 99% ya wamiliki wa mabar wanatumia ushirikina kuvutia wateja sema wanazidiana ujanja na wengine wanakosea masharti hadi bar zinakufa kimaajabu.
Asikwambie mtu hizi biashara za mabar zinashirikisha uchawi na ushirikina mkubwa sana , nimeshashuhudia live ulonzi unafanyika kwenye bar tena sio moja,
Hamna hiko kitu we mzee baba
 
Ni ushirikina mkuu , nina uhakika wa hilo, 99% ya wamiliki wa mabar wanatumia ushirikina kuvutia wateja sema wanazidiana ujanja na wengine wanakosea masharti hadi bar zinakufa kimaajabu.
Asikwambie mtu hizi biashara za mabar zinashirikisha uchawi na ushirikina mkubwa sana , nimeshashuhudia live ulonzi unafanyika kwenye bar tena sio moja,
Kweli?? Mmmh basi atare
 
Acha mawazo ya kijinga. Hamna cha kafara wala nini. Nani ana muda mchafu huo, vitu sikuhizi ni customer care nzuri.
Naungana na wewe. Kuna siku nilitoka kumsubiri mgeni wangu Urafiki pale pana bar ya Kilimanjaro.
Sasa wakati narudi mida ya saa saba usiku nikakuta pale Manzese darajani kwa Mkwere pamechangamka sana, ikabidi nipitie.
Nilivyofika yaani pale nje tu wanakupokea vizuri, anakupeleka kwenye siti ambayo ni tupu na anaivuta kabisa ili mheshimiwa mnywaji ukae, anakukaribisha sana kisha anakuuliza unakunywa kinywaji gani!
Nilipanga kunywa bia 2 lakini nikakesha hadi kumi na moja.
 
Dar viwanja huwa vinakuja na kuondoka ila Elements iko kwenye peak miaka yote
 
Back
Top Bottom