Acha kufananisha kitambaa cheupe na vitu vya hovyo... Sasa tip top bar pale kuna nn ?Huijui titop pub wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kufananisha kitambaa cheupe na vitu vya hovyo... Sasa tip top bar pale kuna nn ?Huijui titop pub wewe.
Haha muda umefika tupunguze mitungi sasaUzee ushaingia majuzi nashangaa nakanyaga kablack&white kadogo nikawrka coka baridi heee kaliishia kwenye meno tayari nshakinai, basi nikarukaruka kidogo nikaenda zangu kulala
MwailubiSisi huku mbeya tunatamba na mbeya pazuri
Ilikuwaje tena ukala kifungo HapoHapo new africa mi washanipiga marufuku kuingia toka 2014. Sijui nikija saiv watanikumbuka?
For sureWanywaji bia wako very complicated wakiama wanahama kama nzige na wakiamia ni hivyohivyo pia.
Catalunya palikuwaga patam saaana yaniCalabash, 5N, Catalunya, Mawasiliano park pameshadoda
Ndo vile tenaCatalunya palikuwaga patam saaana yani
Ulifanyaje Mkuu? 🤣🤣🤣Hapo new africa mi washanipiga marufuku kuingia toka 2014. Sijui nikija saiv watanikumbuka?
Soma post ya 209 mkuu ni hatariUlifanyaje Mkuu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Soma post ya 209 mkuu ni hatari
Labda kinafuliwa na kupigwa pasi kila baada ya matumiziYaani hii sehemu si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?
Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
Duuuh, kwani aliwatuma yeye?Mmiliki mtu wa tanga,na ile ya tabata nayo inasemekana alishatoa kafara Kuna watu waliuana pale
Inaitwa PR iko pia magomeni na uwanja wa taifaWe Kweli mkongwe, joh alikuwa anakaa Ile gesti pembeni ya meeda ya buku kumi tulikuwa ukibeba mlupo unapeleka mle ndani ana parking kubwa short time kwenye parking unampa mlinzi buku 5.
Ilikuwa inaitwa Pattaya I think jamaa amekaa sana pale na Kuna wakati alikuwaga mpaka mshkaji unampa bia mageto akiwa anadaiwa unawapiga Kiswahili jamaa ili akae kijanja. Dah long fucken.
😂😂😂😂😂Full kurogwa, ukikaa nchale , ukisimama nchale
Mbezi Beach zamani kule chini karibu na maeneo ya Rainbow, kumejifia nadhaniVipi matako baa nako kukoje sikuhizi.
#MaendeleoHayanaChama
Yani hii ndo shida ya hizi Club, pale zinapoanzishwa zinabamba kwa muda, mwaka au miaka miwili halafu baada ya hapo chali panafulia jumlaItafika muda patadoda kama Papii Churo, litaibuka chimbo lingine.
...yani walevi wana tabia za ajabu sana aiseeHiyo ni kawaida kwa bar mpya sinza
Ukifungua bar mpya sinza kali inajaza kwa miaka miwili ya kwanza sana
Akitokea mwingine akafungua twna mpya kali wotw wanahamia huko
Mbona hizo club mnajaa hata nyie wanywa mirinda nyeusi? Afu pakifulia na nyie mnasepa mnafataga nn...yani walevi wana tabia za ajabu sana aisee