Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Nasoma Kuna vurugu za kijinga, unaweza ukapigwa Chupa usipokuwa makini
Na wizi wa kitoto.
SI unajua ndio chimbo la Vijana wa mama John mpaka Ivumwe kule
Mkuu mbona mbeya pazuri watu waliuana kabisaa

Umewahi sikia Nasoma watu wameuana?

Afu nilipita hapo last month pamefanyuwa modifications ya hatari
 
Mkuu mbona mbeya pazuri watu waliuana kabisaa

Umewahi sikia Nasoma watu wameuana?

Afu nilipita hapo last month pamefanyuwa modifications ya hatari
Ilikuwa zamani sana wakati huo ilikuwa kama fitna tu
 
Hyo Cha mtoto nenda Kitambaa Waiti Ya Tabata(Zamani maeda bar) utafurahi na Roho Yako.
.
Mmiliki anaitwa Jane Kikumbi, Mkinga Mmoja pisi Kali mnoo Ila bahati Mbaya amefunga Ndoa Mwaka Jana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitambaa cheupe na Kikumbi kama kuna uhusiano na King Kiki Kikumbi Mwanza na kitambaa cheupe, au hiyo pisi ya kikinga imeolewa na mutu ya Congo, kwa maana bakongo bana makuta balaa.
 
picha tuone mnavyokanyagana

A5F9EC1E-944E-4E27-831B-60105E21D70B.jpeg
 
NATO ZAWADI KWA WAPENDA MADAM AU MAKUSANYIKO:
Tafuta kobe dume, mayai nane ya kienyeji na pakiti ya sea salts,
Chimba shimo mbele ya bar yako la ukubwa fulani panga mayai nane ndani chukua kobe wako muweke aitazame bar mimina chumvi yako omba fukia / nyomi lake si la kitoto! Baada ya siku 40
 
NATO ZAWADI KWA WAPENDA MADAM AU MAKUSANYIKO:
Tafuta kobe dume, mayai nane ya kienyeji na pakiti ya sea salts,
Chimba shimo mbele ya bar yako la ukubwa fulani panga mayai nane ndani chukua kobe wako muweke aitazame bar mimina chumvi yako omba fukia / nyomi lake si la kitoto! Baada ya siku 40
Acha utapeli dogo
 
NATO ZAWADI KWA WAPENDA MADAM AU MAKUSANYIKO:
Tafuta kobe dume, mayai nane ya kienyeji na pakiti ya sea salts,
Chimba shimo mbele ya bar yako la ukubwa fulani panga mayai nane ndani chukua kobe wako muweke aitazame bar mimina chumvi yako omba fukia / nyomi lake si la kitoto! Baada ya siku 40
Huyo Kobe anafukiwa hapo au?
 
Yaani hii sehemu si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?

Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
Wewe utakuwa mgeni jijini Dar es salaam,kuna bar zilitamba eg Kwa macheni,Shentembaa,Criss burger,Igongwe
 
Back
Top Bottom